CHADEMA yashauri Katiba ifuatwe kuunda Serikali, Waziri Mkuu na Mawaziri waliopo hawakuapa mbele ya Rais wa sasa

CHADEMA yashauri Katiba ifuatwe kuunda Serikali, Waziri Mkuu na Mawaziri waliopo hawakuapa mbele ya Rais wa sasa

Kwani hawa wanaitambua hii serikali iliyopo madarakani mbona siwaelewi.

Ila katiba mbona imefuatwa au lazima tuyumbishe gari kwanza [emoji23][emoji23] hlf tuendeleeView attachment 1737654View attachment 1737657View attachment 1737655View attachment 1737656View attachment 1737658

Mkuu, punguza upotoshaji. Ibara uliyoweka hapo inahusu kukaimu nafasi ya Rais, sio madaraka ya Rais aliyepatikana kupitia moja ya mambo kma kifo. Rais Samia ni Rais na si kaimu Rais.

Kama ni uamuzi wake kubaki na timu hii, aiteue na kuiapisha. Tumalize hili na kusonga.
 
Chadema ni chama cha wachaga.

Siku hizi wameanzisha vita na kanda ya ziwa.
Propaganda mpya za kijinga mnazotaka kuanzisha sijui kama zitaingia kichwani mwa huyu mama intelijent😂😂😂😂😂😂
 
Jiulize JK na chadema ilikuaje wakaketi pamoja kwa juice za ikulu.

Awamu ya tano haikutana maelewano, ukizingua utatandikwa.
inaonekana chadema wanadhani ktk kipindi hiki chini Mhe. Rais Samia wanaweza kupenyeza ajenda zao na zikafaulu sijui!!!!
ni ngumu sana, labda kwanza waanze kujenga mahusiano mazuri na ushirikiano wa dhati vinginevyo watasubiria sana.
hakuna litakalo wezekana bila utii kwa mamlaka na unyenyekevu, vuruvuruu ndio inawa cost kila siku.
ndio maaana Hayati JPM aliwapotezea maaana aliamini kuwa hawana nia njema na serikali yake.
chadema mkitaka kweli kuijenga nchi yetu basi onyesheni utii na ushirikiano wa kujenga nchi, acheni malumbano yasiyo na tija. sote ni watanzania tuijenge nchi yetu kwa kutanguliza uzalendo mbele.
hakuna mshindi ktk kuijenga nchi bali kuna adui asiye itakia mema nchi yetu.
nchi ni yetu sote tuijenge nchi yetu sote kwa pamoja.
 
1617105676106.png

1617105688911.png

1617105757026.png
 
Bush lawyers, achana nao...
Waliwatanguliza TLS kutoa huu ujinga, walivyo ona hauna nguvu wametoa kichwa chao bila aibu tena.
 
CHADEMA wako sahihi kwa 100 pc kulingana na Katiba ya JMT.
CCM wasipoangalia wataiingiza nchi kwene mgogoro mkubwa wa Kikatiba.
Kuna wana CCM wanataka kupotosha Katiba makusudi kulinda nyadhifa walizo apa kwa Marehemu...JPM!!!!
Nchi haiwexi kuongozwa na viapo vya Rais Hayati au mwenda zake. Mama Rais Samia angalia Katiba wasije makada wako wakakuingiza choo cha kiume!!!
 
Utamaduni wa kuheshimu katiba unaanzia kwenye vyama vyetu vya siasa kwa kuheshimu katiba za vyama vyetu vya siasa.
 
CHADEMA wako sahihi kwa 100 pc kulingana na Katiba ya JMT.
CCM wasipoangalia wataiingiza nchi kwene mgogoro mkubwa wa Kikatiba.
Kuna wana CCM wanataka kupotosha Katiba makusudi kulinda nyadhifa walizo apa kwa Marehemu...JPM!!!!
Nchi haiwexi kuongozwa na viapo vya Rais Hayati au mwenda zake. Mama Rais Samia angalia Katiba wasije makada wako wakakuingiza choo cha kiume!!!
Walioapa kwa JPM nj mawaziri tu? Vipi kuhusu mabalozi, wakuu wa mikoa?
 
Chadema ni chama cha wachaga.

Siku hizi wameanzisha vita na kanda ya ziwa.
Ni wazi kuwa umeshafilisika hoja. Ambae alikuwa anapenda hoja mfu kama hizo nae tangu 17/3/2021 hayupo.
Hapa TZ duniani, wamebaki wa aina yako tu.
Pole sana
 
Ni kweli katiba ifuatwe na kama samia anataka hao hao waendelee basi avunje baraza la mawaziri awateu tena wale wale na waape mbele yake...Hatuna shida na mtu sisi tuna shida na katiba maana akivunja katiba wazi wazi ni hatari.
Ni kipengele gani kwenye katiba kinasema avunje Baraza la mawaziri?
 
Back
Top Bottom