CHADEMA yasusia Uchaguzi Wabunge wa EALA


Mkuu umewahi kuona kiongozi au mfuasi yoyote wa CDM kuunga mkono uwepo wa huyo Aida Kenani kuwepo bungeni? Huyo aliambiwa msimamo wa chama akalazimisha kuwepo kwenye hilo bunge. Chama kilichofanya ni kumpuuza.

Hakuna mbunge wa CDM amewahi kwenda kwenye hilo bunge akitegemea kupata kura za wanaccm. Wamesusia kwasababu uchaguzi wa 2020 ulikuwa ni wa kihayawani. Lakini hakuna anayepinga mtazamo wako.
 
Mtu anayekwenda kinyume na maamuzi ya chama huwa anapuuzwa? Ni mtizamo wako though.
 
Kwa nchi yetu ilivyo, usishangae ukasikia kuna mtu karejesha fomu yenye Saini ya Mnyika wakati hakuna mahali chama kimetoa fomu!!

Haya mambo yanatia hasira sana, inabidi ifike hatua hata Mbowe aajiri snipers Ili tuheshimiane kidogo.
Hayo unayasema wewe!
Nyie endeleeni kususa mpaka mtakapojitambua itakuwa mmezeeka pia!
 
Alafu utawasikia kina Zitto wametanguliza matumbo mbele ,wanasema Ngogwe na Cuf ni vyama vya wapinzani.
Kwa nini uwachagulie la kufanya wakati sio chama chako.
 
Kama huo ndio ujinga wa Lisu, tunahitaji wajinga wengi wa aina ya Lisu. CDM hawana Muda wa kushiriki siasa za kishenzi.
Siasa mnazotaka CCM hata mbinguni hazipo
 
Kwa nchi yetu ilivyo, usishangae ukasikia kuna mtu karejesha fomu yenye Saini ya Mnyika wakati hakuna mahali chama kimetoa fomu!!

Haya mambo yanatia hasira sana, inabidi ifike hatua hata Mbowe aajiri snipers Ili tuheshimiane kidogo.
Hilo kwa sasa linaweza lisifanyike, ila kama angekuwepo magufuli huenda lingetokea jambo kama hilo....!
 
CCM wachague kati ya wale wanasesere wao 19 kule bungeni wawaweke hao.
 
Watanzania na jeshi letu tungejifunza huyu mtu Jerry Rawlings wa Ghana alipokuwa kijana afisa mdogo wa jeshi alifanya nini kwa nchi yake hadi kuifanya leo iwe yenye demokrasia imara lazima tungeshika mwenendo mpya kijasiri.
Lakini tumelala na maafisa wetu wamegeuka uvccm.
 
Lissu ana roho mbaya sana, kwa kuwa yeye hana cheo chochote, anafanya juu chini na wenzake wakose, hata kesi ya akina mdee ni yeye ndio anashinikiza ili wakose ubunge, kwenye bunge la Afrika mashariki pia amezuia ili wakose wote
Tuliza kalio Chini kinembe wewe
 
Unaweza kukuta wewe hata kidato cha nne umefika. Lakini haya mawazo ni chini ya kiwango cha elimu ya ngumbaru
 
Wewe **** chadema haijapokea luzuku Kwa miaka miwili sasa ,wtf are you talking about ?
Na tozo na ugumu WA maisha zikiwafira msiwe mnawalaumu chadema **** kweli
 
MwanaCCM yeyote mwenye akili lazima aumie na hii move. Tunahitaji kuona mambo yanakwenda vyema kwa mapatano na amani.

Iwapo bado kuna grievances maana yake kama Taifa hatupo sawa. Tusikubali kumuacha Mtanzania yeyote nyuma.
 
P
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…