Uchaguzi 2020 CHADEMA yatangaza kusudio la kuweka Mgombea Urais wa Zanzibar

CDM wangewachia huko ACT tu
Maana ACT kidogo Ana nguvu huko
CDM akiweka mgombea watawapunguzia kura ACT

ova

Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
Iko hivi , kila chama kitateua mtu na kumleta mezani ili ajadiliwe na vyama vyote , kingine ambacho umekisahau ni kwamba maharamia wa ccm walipanga njama za kumzuia Maalim Kugombea ili kuepuka aibu ya kipigo , wamepanga njama chafu nyingi sana kwa vile hawana ushawishi
 
Wasisahau kuwa sas hivi tume ipo chini ya TISS- uvccm ambao wote ni chato die hard. Mwaka huu atakayetoboa ujue ni kidume. Magu atakuwa anagaw majimbo kama karanga. Na wakishajazana bungeni watakuambia chaguo la Mungu libadilishiwe katiba.
Hi ndo plan ya Magu ..kuwapa majimbo machache nccr na cuf halafu badae wapeleke azimio la kuondoa ukomo wa urais ili Magu atawale atakavyotaka...
 
... halafu badae wapeleke azimio la kuondoa ukomo wa urais ili Magu atawale atakavyotaka...
which is healthy for the nations' democracy. kwanini wananchi wawekewe vikwazo kuchagua kiongozi wanayemtaka?!
 
Hiyo ni hatua ya pili. Kwanza kila chama kinatangaza uwezo wake kisha wanaungana.
Hii ni tofauti na TLP eti inamtangaza mgombea was CCM kuwa mgombea wao wakati CCM wenyewe hawajamtangaza. Watu wazima wapumbaf ndio hao.
Yeah nimekusudia hio hatua ya 2, kivyovyote vile kuungana kunahitajika ingawaje kuna watu ambao watarumiwa kuvuruga muunganiko
 
Mjambaji tu ww huna Lolote
 
Hakika. Umeona mbali sana.wameamua kuwatisha ACT.
Zitto atakuwa bwege akikubali muungano huo wakitapeli
Wakitapeli vipi mkuu, huo ndio ukweli, mm kwa mawazo yangu anaepinga muungano huu kivyovyote ni CCM coz anajua kuwa nguvu yote itakua inamuelekea yeye
 
Kwa taarifa hii hapa, CHADEMA wasafishe nyumba yao mapema kabla hata ya kuteua wagombea kwa sababu wakati wa kampeni nguvu kubwa itapaswa kutumika kumsafisha Mbowe, M/Kiti wa chama, ambaye ndiye hubeba sura ya chama.

 
Wakitapeli vipi mkuu, huo ndio ukweli, mm kwa mawazo yangu anaepinga muungano huu kivyovyote ni CCM coz anajua kuwa nguvu yote itakua inamuelekea yeye
Cdm si wakweli. Wanapenda kuwatumia wengine tuu. Pitia humu nyuzi zipo nyingi wakiwakejeli vyama wenza wa ukawa kwamba wao ndio wamewabeba.
Muungano wa kweli labda ACT na Nccr mageuzi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…