Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa taarifa hii hapa, CHADEMA wasafishe nyumba yao mapema kabla hata ya kuteua wagombea kwa sababu wakati wa kampeni nguvu kubwa itapaswa kutumika kumsafisha Mbowe, M/Kiti wa chama, ambaye ndiye hubeba sura ya chama.