CHADEMA yawasha moto Arusha. Mbowe azindua Mkakati mpya

Mwambieni Lema aache kulelewa na wanaume wenzake ,arudi kupambana.
Ndugu yangu,
Matusi yote hayo unayo poromosha yanatokana na uoga uliyokujaa utokanao na ushetani wenu.
Ninapiga magoti kuendelea kumwomba Mungu wetu aliehai ili akusamehe na kukujaza roho wa haki na kweli.
Utakaposhika njia mpya ilojaa upendo wa Mungu, utaweza kuwaongoza hata wenzio wenye tatizo kama ulivyokuwa, hali ambayo itakuwa msingi wa kujenga Taifa jipya lisilo na chuki kwa binadamu wengine.
AMEN
 
huyo tapeli na jizi la haaayi lilitakiwa kuwa jela kabisa wala si kutapeli tena watanzania nyambaf kbs
 
mnajidanganya dira ya taifa lipi labda nikuulize yaaninchiiendeshwe na mtu kama mbowe ? hiyo itakuwa nchi au kituko tu?
majinga mnoo hayawezi kukujibu hivi mtu kama amefeli mitihani darasani ameshindwa kusimamia mali za familia tu mpaka anatapeli ametapeli hela za chama hafu ety leo linakuja na ujinga ujinga nyoka wa makengeza weeee mlewa konyagi I can't breathe
 
Mungu na waungwana, shetani na wahuni! Ni fahari kuwapigania waungwana, ni aibu na fedheha kuwapigania ccm.

Mungu ibariki Chadema, tusaidie kuwachukua ccm wote waliobaki kama ulivyomchukua yule dikteta muuaji
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…