Chozizwa2020
JF-Expert Member
- Apr 8, 2021
- 912
- 853
Mkuu kwa nini isiwezekane?Ngoja tuone kama inawezekana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu kwa nini isiwezekane?Ngoja tuone kama inawezekana
Mkuu bado una mambo ya kitoto!!Vipi Lowasaaa fisadi au sio fisadi. CDM wakinijibu hili itakuwa vzr sana. CDM wapo kimaslahi zaidi
Kwani huko chadema yupo Mbowe na Nyarandu tu?Unataka Mwenyekiti wa Chadema awe Nyalandu ?
Mkuu na ameshidwa kuwaondoa wale maadui watatu wa maendeleo (maradhi, umaskini na ujinga) kama alivyotuaminisha for 60 yearsCcm wameshindwa kuondoa umasikini nchini zaidi ya miaka 60 sasa.
piganieni chama chenu ndo maana hamuaminiani
Ccm wameshindwa kuondoa umasikini nchini zaidi ya miaka 60 sasa.
Si kila kikao kinaweza kuwekwa hadharani , yako mengine ya chini kwa chiniMkuu kwa nini isiwezekane?
mimi sina chama. kwa unafiki huu na watu kukaa kimaslahi ndio nilishindwa. niliipenda chadema, nilipoona wamemchukua mamvi ambae ni fisadi na kumsafisha, nilikichuki/nakichukia hiki chama kuliko hata ccm. nashangaa wafuasi wa hiki chama wanashindwa hata kuwaza vitu vidogo kama hivi. anyway kuiongoza Tz ni rahisi sana kama alivyosema mzee kenyatta kumwambia nyerereTuanze na kuwasikia kijani kwanza .
Ole sabayamna mchukua nani saaahv ccm kupeperusha bendera yenu?
Mama Samia Suluhu namkubali sanaTunaanza kuiona tena demokrasia....
Isije kuwa mwenyewe umekujaa unao sema kuuchukia,mlikuwa nae akawahama,mkamsajili tena na Hadi leo mnaye,simlishindwa kuthibitisha madai ya ufisadi ndio sababu mmeona yuu safi Hadi mkamrejesha kwa gharama zote.ama sii nyie.mimi sina chama. kwa unafiki huu na watu kukaa kimaslahi ndio nilishindwa. niliipenda chadema, nilipoona wamemchukua mamvi ambae ni fisadi na kumsafisha, nilikichuki/nakichukia hiki chama kuliko hata ccm. nashangaa wafuasi wa hiki chama wanashindwa hata kuwaza vitu vidogo kama hivi. anyway kuiongoza Tz ni rahisi sana kama alivyosema mzee kenyatta kumwambia nyerere
Je polisi wana tasrifa kwamba yule mvunja katiba alisha enda zake?Chama cha Demokrasia na Maendeleo ( CHADEMA ) , leo kimeanza kupanga mipango mipya ya kukisogeza karibu zaidi na Wananchi , ambapo Mwamba Mwenyewe Freeman Mbowe ameanza kwa kufungua kikao cha Kamati ya Utendaji Mjini Arusha
CHAMA CHA SIASA NI MABARABARANI NA MAJUKWAANI - JK NYERERE
FREEMAN Mbowe, Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Taifa, tarehe 27 Mei 2021 siku ya Alhamisi, anatarajiwa kuzindua ‘Operesheni Haki,‘ ambayo itafanyika nchi nzima.
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa leo Jumanne tarehe 25 Mei 2021 na Chadema, kupitia ukurasa wake wa Twitter, kampeni hiyo itazinduliwa jijini Arusha.
Taarifa ya Chadema imesema kuwa, lengo la operesheni hiyo ni kudai katiba mpya, tume huru ya uchaguzi, pamoja na uimarishwaji misingi ya haki nchini.
Sambamba na hilo, taarifa ya Chadema imesema, Mbowe ameendesha kikao cha Kamati Tendaji ya chama hicho, katika Kanda ya Kaskazini, kilichofanyika leo jijini Arusha.
“Leo Mei 25, 2021, Mwenyekiti wa chama Taifa, Freeman Mbowe, ameendesha Kikao cha Kamati Tendaji ya Kanda ya Kaskazini, jijini Arusha,” imesema taarifa ya Chadema.
Halafu Mungu akamfanyaje ?Mwanaume ni mmoja tu alielala Chato ndio alijua kuwanyoosha pakashume nyinyi.
Mama Samia Suluhu namkubali sana
hapa usiizungumzie ccm. sababu ccm mafisadi. nataka kujua kutoka kwenu nyinyi wana mageuzi, vipi mumchukue mtu mumsafishe alafu agombee urais. hahah TZ watu hovyo sana, alafu eti CDM wanajiita wana demokrasia. upuuzi mtupu. mnayoyaongea na kutenda tofauti, anayejitambua hamuwezi kumpata hata kidogo, si ccm wala cdmIsije kuwa mwenyewe umekujaa unao sema kuuchukia,mlikuwa nae akawahama,mkamsajili tena na Hadi leo mnaye,simlishindwa kuthibitisha madai ya ufisadi ndio sababu mmeona yuu safi Hadi mkamrejesha kwa gharama zote.ama sii nyie.
Ha ha ha.Mwanaume ni mmoja tu alielala Chato ndio alijua kuwanyoosha pakashume nyinyi.
Mkuu hili bato ni nyie na sisi Sir God anaingiaje??Halafu Mungu akamfanyaje ?