CHADEMA yawasha moto Arusha. Mbowe azindua Mkakati mpya

CHADEMA yawasha moto Arusha. Mbowe azindua Mkakati mpya

Kisiasa kwa kweli Mbowe yuko vizuri sana. Pamoja na wengi kusema kuwa hana kisomo cha digrii.
 
Ccm wameshindwa kuondoa umasikini nchini zaidi ya miaka 60 sasa.
Mkuu na ameshidwa kuwaondoa wale maadui watatu wa maendeleo (maradhi, umaskini na ujinga) kama alivyotuaminisha for 60 years
 
Tuanze na kuwasikia kijani kwanza .
mimi sina chama. kwa unafiki huu na watu kukaa kimaslahi ndio nilishindwa. niliipenda chadema, nilipoona wamemchukua mamvi ambae ni fisadi na kumsafisha, nilikichuki/nakichukia hiki chama kuliko hata ccm. nashangaa wafuasi wa hiki chama wanashindwa hata kuwaza vitu vidogo kama hivi. anyway kuiongoza Tz ni rahisi sana kama alivyosema mzee kenyatta kumwambia nyerere
 
mimi sina chama. kwa unafiki huu na watu kukaa kimaslahi ndio nilishindwa. niliipenda chadema, nilipoona wamemchukua mamvi ambae ni fisadi na kumsafisha, nilikichuki/nakichukia hiki chama kuliko hata ccm. nashangaa wafuasi wa hiki chama wanashindwa hata kuwaza vitu vidogo kama hivi. anyway kuiongoza Tz ni rahisi sana kama alivyosema mzee kenyatta kumwambia nyerere
Isije kuwa mwenyewe umekujaa unao sema kuuchukia,mlikuwa nae akawahama,mkamsajili tena na Hadi leo mnaye,simlishindwa kuthibitisha madai ya ufisadi ndio sababu mmeona yuu safi Hadi mkamrejesha kwa gharama zote.ama sii nyie.
 
Chama cha Demokrasia na Maendeleo ( CHADEMA ) , leo kimeanza kupanga mipango mipya ya kukisogeza karibu zaidi na Wananchi , ambapo Mwamba Mwenyewe Freeman Mbowe ameanza kwa kufungua kikao cha Kamati ya Utendaji Mjini Arusha


CHAMA CHA SIASA NI MABARABARANI NA MAJUKWAANI - JK NYERERE
FREEMAN Mbowe, Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Taifa, tarehe 27 Mei 2021 siku ya Alhamisi, anatarajiwa kuzindua ‘Operesheni Haki,‘ ambayo itafanyika nchi nzima.

Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa leo Jumanne tarehe 25 Mei 2021 na Chadema, kupitia ukurasa wake wa Twitter, kampeni hiyo itazinduliwa jijini Arusha.

Taarifa ya Chadema imesema kuwa, lengo la operesheni hiyo ni kudai katiba mpya, tume huru ya uchaguzi, pamoja na uimarishwaji misingi ya haki nchini.

Sambamba na hilo, taarifa ya Chadema imesema, Mbowe ameendesha kikao cha Kamati Tendaji ya chama hicho, katika Kanda ya Kaskazini, kilichofanyika leo jijini Arusha.

“Leo Mei 25, 2021, Mwenyekiti wa chama Taifa, Freeman Mbowe, ameendesha Kikao cha Kamati Tendaji ya Kanda ya Kaskazini, jijini Arusha,” imesema taarifa ya Chadema.
Je polisi wana tasrifa kwamba yule mvunja katiba alisha enda zake?
Unaweza ukasikia wakisema kila mbunge aende jimboni kwake.
 
Mama Samia Suluhu namkubali sana
Tutamtoa_Mkoloni_Mweusi_Soon_on_Instagram:_“Mwenyekiti_wa_Chadema_Taifa_akisalimiana_na_Waziri...jpg
 
Isije kuwa mwenyewe umekujaa unao sema kuuchukia,mlikuwa nae akawahama,mkamsajili tena na Hadi leo mnaye,simlishindwa kuthibitisha madai ya ufisadi ndio sababu mmeona yuu safi Hadi mkamrejesha kwa gharama zote.ama sii nyie.
hapa usiizungumzie ccm. sababu ccm mafisadi. nataka kujua kutoka kwenu nyinyi wana mageuzi, vipi mumchukue mtu mumsafishe alafu agombee urais. hahah TZ watu hovyo sana, alafu eti CDM wanajiita wana demokrasia. upuuzi mtupu. mnayoyaongea na kutenda tofauti, anayejitambua hamuwezi kumpata hata kidogo, si ccm wala cdm
 
Back
Top Bottom