mzeewaSHY
JF-Expert Member
- Aug 31, 2021
- 8,916
- 8,630
Katika mchezo wa mpira wa miguu timu pinzani ambayo ina mbinu nyingi uwanjani wakiwaona wapinzani wao ni tishio huwa wanabadili staili ya mchezo ili mcheze wanavyotaka wao, mkishaingia kwenye mtego wao basi hapo ujue wameshamaliza mchezo !! Ila kwenye sheria sijui huwa inakuwaje !!Chadema wanaicheza ngoma vizuri.