Uchaguzi 2020 CHADEMA zibeni matundu haya kunusuru pesa zenu

Poa mzee wa tundu... kapime corona sasa! Isijekuwa imepanda kichwani!!
 
Taarifa kwa Muktasari,itakupa Swahili njema.Ni utafiti ulioshiba KWELI. Mkubwa wa kubadili gea angani amesahau Parachuti sasa ndege yaelekea kuanguka,sijui atajiokoa vipi!
Aria waziri kupukutika,ataingiaje mchezo hapo Oktoba 2020.Ama kweli "Sikio la kufa,halisia dawa".

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mtoa mada umekuja tena na ID nyingine? Mbona kama mwandiko wa mtu mmoja?[emoji23][emoji23][emoji119][emoji119]..

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Wasukuma hata wakiwa na madaraka makubwa kiasi gani ushamba huwa hauwaishi
 
Tutakusubiria kwa maelezo zaidi japo uandishi wako sijui kama ukitoa kitabu kitaeleweka vzr but kipeleke kwanza waki "Edit" vizuri.
 

Kwa jinsi unavyoandika ningeshangaa kama usingemtetea huyo kilaza mwenzio.
 
Mkuu nakuhakikishia kama wewe umeona kuna maudhui kwenye huu uzi basi hakika kachukue kadi ya ccm, unafaa kuwa huko mana unafiti kuwa huko kwa mleta mada.

Sent using Jamii Forums mobile app
 

1. Karibu robo tatu ya makala hii ndefu ina makosa ya kisarufi na mis-spelling ya maneno....

2. Kwa sababu hii pekee, inaonesha wazi kuwa utafiti wako huo umeufanyia chumbani kwa Humphrey Polepole....

3. Hii moja kwa moja inatupeleka kwenye fact number two, kuwa, ujumbe wako haujafika kwa walengwa wako....!!

RECOMMENDATIONS:

å Huyu asipewe posho yake ya leo yaani LB.7,000/= unless amerekebisha makosa yake kabla ya saa 12 jioni leo!!
 
Hivi kwanini masikini wengi hata kusoma na kuandika hawajui ?
 
Sisi Tunalia Na Korona Unatuletea Uchama Na Chama,watu Wakifa Vyama Atavipigania Nani?
 
Nikweli kuna typing error katika andiko langu! Hii ni kwa sababu wakati na andika niikuwa niko ndani ya bus nikisafiri kutoka dar to moshi,
Hivyo mniwie radhi kwa makosa hayo.

Lakini pia naomba mzingatie maudhui ya andiko lenyewe, kwakuwa ktk michango yawachangiaji wote hakuna aliyepinga au kutoa ufafanuzi juu ya...

1.Mh. Mbowe amekuwa mtengeneza kesi zisizo na sababu ambazo
Zinakigarimu chama mamilions ya
Pesa kupitia mawakiri! (Naamini mh.
Mbowe siyo mjinga kiasi hicho.)

2.hakuna anayeweza kupinga kuwa
Mh. Mbowe anakikundi chake ndani ya chama anaoshirikiana nao katika
Ufisadi wa kutengeneza issue ili
apige pesa.
Nahili limethibitishwa juzi kwenye
Hukumu waliyopewa yeye nakikundi
Chake mahakama ya kisutu.
Ukimuondoa jesca huyo alijimix
Mwenyewe,
Anae bisha anipe majibu ya ukimya
Wa waheshimiwa hawa..
Mh. Joseph 30
Mh. Komu
Mh. S.kubenea
Mh. S.kiwanga
Mh. Lijua likari
Mh. Silinde
Pamoja na baadhi ya wabunge wa
Kuteuliwa! Hii nikwasababu kuna wa
Bunge wameshalisema sana hili
Jambo wakitaka chama kiache migo
goro isiyo na sababu maana inaki
gharim chama.
Hawa wabunge wanataka chama ki
Tumie fedha zake ktk mambo ya
Msingi km vile kujenga ofice, kuso
Mesha vijana, na kuimarisha mfumo
Wa chama ktk uongozi na sera.

Hivyo nawaomba mkae mkao kusiki mengi kutoka ktk utafiti uliosheheni mambo makubwa yatakayo tufanya kuwa makini ktk vyama hivi vya upinzani , maana kuna watanzania wamepoteza maisha, wamekuwa vilema, nawengine walikaa magerezani na hawakupata kusaidiwa kwa chochote japo walihamasishwa na chama kuandamana, kufanya mikutan kama wanavyo hamasishwa sasa, japo walikomea kupata msaada wakisheria kutoka kwa mawakiri wakati huo mwenyekiti mbowe na kundi lake wakipiga pesa.
 
Wewe Admin acha kuwa unaondoa nondo zangu hapa! Km nawewe ukweli unakuuma bora unifute tu humu jf! Utasaidia na bando zangu.
 
Mkuu ubongo wako ni mdogo kama wa panya.
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kajifunze lugha kwanza ndio urudi kutype
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…