Uchaguzi 2020 CHADEMA zibeni matundu haya kunusuru pesa zenu

Uchaguzi 2020 CHADEMA zibeni matundu haya kunusuru pesa zenu

Tangia mwaka 2015 nilianza utafiti ndani ya chama cha chadema baada ya kuwa chana kikuu cha upinzani bungeni.

sababu za utafiti....
Nibaada ya Dr w.slaa kuamua kuondoka chadema kisa akiwa mh.E.N.Lowasa.

misingi yangu ya utafiti ilizingatia mambo yafuatayo
1.kauri ya mh f.mbowe kuwa dr slaa aliondoka sababu yakunyimwa kugombea uraisi
2.kauri ya mh mbowe kuwa mzee lowasa alikuwa na mtaji kuja kwake chadema.

mambo haya yaliniongoza kubaini yafuatayo...
mh mbowe alilenga kuongeza rudhuku na mapato ya chama nasiyo yachama kuongoza nchi na kuwaletea ukombozi wananchi wamabo waliyokuwa wakihubiri nahivyo ikanipa majibu yakwamba Dr slaa hakuwa na uchu wa uraisi km sababu zilizotolewa na mbowe.

hii ilinifanya kupata majibu ya msingi wa kwanza wasababu za dr w.slaa kuondoka chadema nanikaamini alichokisema dr slaa.
kufikia leo wakati naleta summary ya utafiti huu nimeniridhisha na kile nilichobaini ktk utafiti wangu kuwa ! Nikweli mh mbowe lengo lake lakumpokea mh Lowasa ilikuwa ni MA- PESA
Nabaada ya kuzipata nimebaini kuwa ametengeneza matundu haya yafuatayo kujinufaisha na pesa za chama yeye na kundi lake.
matundu hayi ni...
1.Mawakiri... amekuwa mtengeneza vurugu ili chama kipate kesi atumie mawakiri kupiga pesa! Maana wakiri msomi km kibataraa niwakiri wa viwango vya juu halipwi hela ya nyanya.
ndio maana kila mara anatafta migogoro yakuperekwa mahakamani kila mara kuelekea uchaguzi ili baada ya uchaguzi akutwe amekomba account yte.
Mtu anaweza kuuliza kwanini asichote tu pesa! Jibu nikwamba CAG wasasa hana mahusiano nae km alivyokuwa prophesor.
tundu la pili. Ni anatumia matibabu ya tundu lisu na baadhi ya wabunge walio ktk timu yake kupiga pesa pale wanapo ugua au kutengeneza ugonjwa wakwenda kutibiwa nje ya nchi. Nadhani mnawajua.
kama hamuwajui angalieni ndani ya chadema wabunge wanawake wanaoongoza kwenda kutibiwa nje ya nchi akiwemo yeye mwenyewe..hili nalo ni tundu.
Tundu jingine ni.sare za chama, bendera ,kumbi za warsha na mikutano, pamoja na ukodishaji wa ndege za kusafiria bila sababu za msingi.
huu ni muhitasali tu wa utafiti! Utafiti wote nitauweka kupitia magazeti na kitabu nitakachokitoa hivi karibuni ambacho nimekipa jina la Niwapi kilipoanguka chama kikuu cha upinzani bungeni chadema?
lakini pia nitafanya mahojiano na vyombo vya habari kupitia runinga very soon.
Taarifa kwa Muktasari,itakupa Swahili njema.Ni utafiti ulioshiba KWELI. Mkubwa wa kubadili gea angani amesahau Parachuti sasa ndege yaelekea kuanguka,sijui atajiokoa vipi!
Aria waziri kupukutika,ataingiaje mchezo hapo Oktoba 2020.Ama kweli "Sikio la kufa,halisia dawa".

Sent using Jamii Forums mobile app
 
wabongo bhana oky mimi sio chadema wala sio ccm wala sina chama lakini ni vizuri sana nyinyi kama wasomi mngejikita katika kutadhama maudhui ya ujumbe wa huyu jamaa lakini sio tu kuponda sijui ajui kuandika mala utafiti gani? Aisee yaan ndio maana nikasema vyama vyote pamoja na watu wao wote wana malengo yao binafsi kupitia vyama vyao yaan hakuna chama kilichokuwa tayari kwaajili ya kutete taifa hili ila vyana vyote vipo kwaajili ya kunufaisha maslai yao basi

Sent using Jamii Forums mobile app
Mtoa mada umekuja tena na ID nyingine? Mbona kama mwandiko wa mtu mmoja?[emoji23][emoji23][emoji119][emoji119]..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tangia mwaka 2015 nilianza utafiti ndani ya chama cha chadema baada ya kuwa chana kikuu cha upinzani bungeni.

sababu za utafiti....
Nibaada ya Dr w.slaa kuamua kuondoka chadema kisa akiwa mh.E.N.Lowasa.

misingi yangu ya utafiti ilizingatia mambo yafuatayo
1.kauri ya mh f.mbowe kuwa dr slaa aliondoka sababu yakunyimwa kugombea uraisi
2.kauri ya mh mbowe kuwa mzee lowasa alikuwa na mtaji kuja kwake chadema.

mambo haya yaliniongoza kubaini yafuatayo...
mh mbowe alilenga kuongeza rudhuku na mapato ya chama nasiyo yachama kuongoza nchi na kuwaletea ukombozi wananchi wamabo waliyokuwa wakihubiri nahivyo ikanipa majibu yakwamba Dr slaa hakuwa na uchu wa uraisi km sababu zilizotolewa na mbowe.

hii ilinifanya kupata majibu ya msingi wa kwanza wasababu za dr w.slaa kuondoka chadema nanikaamini alichokisema dr slaa.
kufikia leo wakati naleta summary ya utafiti huu nimeniridhisha na kile nilichobaini ktk utafiti wangu kuwa ! Nikweli mh mbowe lengo lake lakumpokea mh Lowasa ilikuwa ni MA- PESA
Nabaada ya kuzipata nimebaini kuwa ametengeneza matundu haya yafuatayo kujinufaisha na pesa za chama yeye na kundi lake.
matundu hayi ni...
1.Mawakiri... amekuwa mtengeneza vurugu ili chama kipate kesi atumie mawakiri kupiga pesa! Maana wakiri msomi km kibataraa niwakiri wa viwango vya juu halipwi hela ya nyanya.
ndio maana kila mara anatafta migogoro yakuperekwa mahakamani kila mara kuelekea uchaguzi ili baada ya uchaguzi akutwe amekomba account yte.
Mtu anaweza kuuliza kwanini asichote tu pesa! Jibu nikwamba CAG wasasa hana mahusiano nae km alivyokuwa prophesor.
tundu la pili. Ni anatumia matibabu ya tundu lisu na baadhi ya wabunge walio ktk timu yake kupiga pesa pale wanapo ugua au kutengeneza ugonjwa wakwenda kutibiwa nje ya nchi. Nadhani mnawajua.
kama hamuwajui angalieni ndani ya chadema wabunge wanawake wanaoongoza kwenda kutibiwa nje ya nchi akiwemo yeye mwenyewe..hili nalo ni tundu.
Tundu jingine ni.sare za chama, bendera ,kumbi za warsha na mikutano, pamoja na ukodishaji wa ndege za kusafiria bila sababu za msingi.
huu ni muhitasali tu wa utafiti! Utafiti wote nitauweka kupitia magazeti na kitabu nitakachokitoa hivi karibuni ambacho nimekipa jina la Niwapi kilipoanguka chama kikuu cha upinzani bungeni chadema?
lakini pia nitafanya mahojiano na vyombo vya habari kupitia runinga very soon.

Wasukuma hata wakiwa na madaraka makubwa kiasi gani ushamba huwa hauwaishi
 
Tutakusubiria kwa maelezo zaidi japo uandishi wako sijui kama ukitoa kitabu kitaeleweka vzr but kipeleke kwanza waki "Edit" vizuri.
 
wabongo bhana oky mimi sio chadema wala sio ccm wala sina chama lakini ni vizuri sana nyinyi kama wasomi mngejikita katika kutadhama maudhui ya ujumbe wa huyu jamaa lakini sio tu kuponda sijui ajui kuandika mala utafiti gani? Aisee yaan ndio maana nikasema vyama vyote pamoja na watu wao wote wana malengo yao binafsi kupitia vyama vyao yaan hakuna chama kilichokuwa tayari kwaajili ya kutete taifa hili ila vyana vyote vipo kwaajili ya kunufaisha maslai yao basi

Sent using Jamii Forums mobile app

Kwa jinsi unavyoandika ningeshangaa kama usingemtetea huyo kilaza mwenzio.
 
wabongo bhana oky mimi sio chadema wala sio ccm wala sina chama lakini ni vizuri sana nyinyi kama wasomi mngejikita katika kutadhama maudhui ya ujumbe wa huyu jamaa lakini sio tu kuponda sijui ajui kuandika mala utafiti gani? Aisee yaan ndio maana nikasema vyama vyote pamoja na watu wao wote wana malengo yao binafsi kupitia vyama vyao yaan hakuna chama kilichokuwa tayari kwaajili ya kutete taifa hili ila vyana vyote vipo kwaajili ya kunufaisha maslai yao basi

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu nakuhakikishia kama wewe umeona kuna maudhui kwenye huu uzi basi hakika kachukue kadi ya ccm, unafaa kuwa huko mana unafiti kuwa huko kwa mleta mada.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tangia mwaka 2015 nilianza utafiti ndani ya chama cha chadema baada ya kuwa chana kikuu cha upinzani bungeni.

sababu za utafiti....
Nibaada ya Dr w.slaa kuamua kuondoka chadema kisa akiwa mh.E.N.Lowasa.

misingi yangu ya utafiti ilizingatia mambo yafuatayo
1.kauri ya mh f.mbowe kuwa dr slaa aliondoka sababu yakunyimwa kugombea uraisi
2.kauri ya mh mbowe kuwa mzee lowasa alikuwa na mtaji kuja kwake chadema.

mambo haya yaliniongoza kubaini yafuatayo...
mh mbowe alilenga kuongeza rudhuku na mapato ya chama nasiyo yachama kuongoza nchi na kuwaletea ukombozi wananchi wamabo waliyokuwa wakihubiri nahivyo ikanipa majibu yakwamba Dr slaa hakuwa na uchu wa uraisi km sababu zilizotolewa na mbowe.

hii ilinifanya kupata majibu ya msingi wa kwanza wasababu za dr w.slaa kuondoka chadema nanikaamini alichokisema dr slaa.
kufikia leo wakati naleta summary ya utafiti huu nimeniridhisha na kile nilichobaini ktk utafiti wangu kuwa ! Nikweli mh mbowe lengo lake lakumpokea mh Lowasa ilikuwa ni MA- PESA
Nabaada ya kuzipata nimebaini kuwa ametengeneza matundu haya yafuatayo kujinufaisha na pesa za chama yeye na kundi lake.
matundu hayi ni...
1.Mawakiri... amekuwa mtengeneza vurugu ili chama kipate kesi atumie mawakiri kupiga pesa! Maana wakiri msomi km kibataraa niwakiri wa viwango vya juu halipwi hela ya nyanya.
ndio maana kila mara anatafta migogoro yakuperekwa mahakamani kila mara kuelekea uchaguzi ili baada ya uchaguzi akutwe amekomba account yte.
Mtu anaweza kuuliza kwanini asichote tu pesa! Jibu nikwamba CAG wasasa hana mahusiano nae km alivyokuwa prophesor.
tundu la pili. Ni anatumia matibabu ya tundu lisu na baadhi ya wabunge walio ktk timu yake kupiga pesa pale wanapo ugua au kutengeneza ugonjwa wakwenda kutibiwa nje ya nchi. Nadhani mnawajua.
kama hamuwajui angalieni ndani ya chadema wabunge wanawake wanaoongoza kwenda kutibiwa nje ya nchi akiwemo yeye mwenyewe..hili nalo ni tundu.
Tundu jingine ni.sare za chama, bendera ,kumbi za warsha na mikutano, pamoja na ukodishaji wa ndege za kusafiria bila sababu za msingi.
huu ni muhitasali tu wa utafiti! Utafiti wote nitauweka kupitia magazeti na kitabu nitakachokitoa hivi karibuni ambacho nimekipa jina la Niwapi kilipoanguka chama kikuu cha upinzani bungeni chadema?
lakini pia nitafanya mahojiano na vyombo vya habari kupitia runinga very soon.

1. Karibu robo tatu ya makala hii ndefu ina makosa ya kisarufi na mis-spelling ya maneno....

2. Kwa sababu hii pekee, inaonesha wazi kuwa utafiti wako huo umeufanyia chumbani kwa Humphrey Polepole....

3. Hii moja kwa moja inatupeleka kwenye fact number two, kuwa, ujumbe wako haujafika kwa walengwa wako....!!

RECOMMENDATIONS:

å Huyu asipewe posho yake ya leo yaani LB.7,000/= unless amerekebisha makosa yake kabla ya saa 12 jioni leo!!
 
Tangia mwaka 2015 nilianza utafiti ndani ya chama cha chadema baada ya kuwa chana kikuu cha upinzani bungeni.

sababu za utafiti....
Nibaada ya Dr w.slaa kuamua kuondoka chadema kisa akiwa mh.E.N.Lowasa.

misingi yangu ya utafiti ilizingatia mambo yafuatayo
1.kauri ya mh f.mbowe kuwa dr slaa aliondoka sababu yakunyimwa kugombea uraisi
2.kauri ya mh mbowe kuwa mzee lowasa alikuwa na mtaji kuja kwake chadema.

mambo haya yaliniongoza kubaini yafuatayo...
mh mbowe alilenga kuongeza rudhuku na mapato ya chama nasiyo yachama kuongoza nchi na kuwaletea ukombozi wananchi wamabo waliyokuwa wakihubiri nahivyo ikanipa majibu yakwamba Dr slaa hakuwa na uchu wa uraisi km sababu zilizotolewa na mbowe.

hii ilinifanya kupata majibu ya msingi wa kwanza wasababu za dr w.slaa kuondoka chadema nanikaamini alichokisema dr slaa.
kufikia leo wakati naleta summary ya utafiti huu nimeniridhisha na kile nilichobaini ktk utafiti wangu kuwa ! Nikweli mh mbowe lengo lake lakumpokea mh Lowasa ilikuwa ni MA- PESA
Nabaada ya kuzipata nimebaini kuwa ametengeneza matundu haya yafuatayo kujinufaisha na pesa za chama yeye na kundi lake.
matundu hayi ni...
1.Mawakiri... amekuwa mtengeneza vurugu ili chama kipate kesi atumie mawakiri kupiga pesa! Maana wakiri msomi km kibataraa niwakiri wa viwango vya juu halipwi hela ya nyanya.
ndio maana kila mara anatafta migogoro yakuperekwa mahakamani kila mara kuelekea uchaguzi ili baada ya uchaguzi akutwe amekomba account yte.
Mtu anaweza kuuliza kwanini asichote tu pesa! Jibu nikwamba CAG wasasa hana mahusiano nae km alivyokuwa prophesor.
tundu la pili. Ni anatumia matibabu ya tundu lisu na baadhi ya wabunge walio ktk timu yake kupiga pesa pale wanapo ugua au kutengeneza ugonjwa wakwenda kutibiwa nje ya nchi. Nadhani mnawajua.
kama hamuwajui angalieni ndani ya chadema wabunge wanawake wanaoongoza kwenda kutibiwa nje ya nchi akiwemo yeye mwenyewe..hili nalo ni tundu.
Tundu jingine ni.sare za chama, bendera ,kumbi za warsha na mikutano, pamoja na ukodishaji wa ndege za kusafiria bila sababu za msingi.
huu ni muhitasali tu wa utafiti! Utafiti wote nitauweka kupitia magazeti na kitabu nitakachokitoa hivi karibuni ambacho nimekipa jina la Niwapi kilipoanguka chama kikuu cha upinzani bungeni chadema?
lakini pia nitafanya mahojiano na vyombo vya habari kupitia runinga very soon.
Hivi kwanini masikini wengi hata kusoma na kuandika hawajui ?
 
Sisi Tunalia Na Korona Unatuletea Uchama Na Chama,watu Wakifa Vyama Atavipigania Nani?
 
Nikweli kuna typing error katika andiko langu! Hii ni kwa sababu wakati na andika niikuwa niko ndani ya bus nikisafiri kutoka dar to moshi,
Hivyo mniwie radhi kwa makosa hayo.

Lakini pia naomba mzingatie maudhui ya andiko lenyewe, kwakuwa ktk michango yawachangiaji wote hakuna aliyepinga au kutoa ufafanuzi juu ya...

1.Mh. Mbowe amekuwa mtengeneza kesi zisizo na sababu ambazo
Zinakigarimu chama mamilions ya
Pesa kupitia mawakiri! (Naamini mh.
Mbowe siyo mjinga kiasi hicho.)

2.hakuna anayeweza kupinga kuwa
Mh. Mbowe anakikundi chake ndani ya chama anaoshirikiana nao katika
Ufisadi wa kutengeneza issue ili
apige pesa.
Nahili limethibitishwa juzi kwenye
Hukumu waliyopewa yeye nakikundi
Chake mahakama ya kisutu.
Ukimuondoa jesca huyo alijimix
Mwenyewe,
Anae bisha anipe majibu ya ukimya
Wa waheshimiwa hawa..
Mh. Joseph 30
Mh. Komu
Mh. S.kubenea
Mh. S.kiwanga
Mh. Lijua likari
Mh. Silinde
Pamoja na baadhi ya wabunge wa
Kuteuliwa! Hii nikwasababu kuna wa
Bunge wameshalisema sana hili
Jambo wakitaka chama kiache migo
goro isiyo na sababu maana inaki
gharim chama.
Hawa wabunge wanataka chama ki
Tumie fedha zake ktk mambo ya
Msingi km vile kujenga ofice, kuso
Mesha vijana, na kuimarisha mfumo
Wa chama ktk uongozi na sera.

Hivyo nawaomba mkae mkao kusiki mengi kutoka ktk utafiti uliosheheni mambo makubwa yatakayo tufanya kuwa makini ktk vyama hivi vya upinzani , maana kuna watanzania wamepoteza maisha, wamekuwa vilema, nawengine walikaa magerezani na hawakupata kusaidiwa kwa chochote japo walihamasishwa na chama kuandamana, kufanya mikutan kama wanavyo hamasishwa sasa, japo walikomea kupata msaada wakisheria kutoka kwa mawakiri wakati huo mwenyekiti mbowe na kundi lake wakipiga pesa.
 
Wewe Admin acha kuwa unaondoa nondo zangu hapa! Km nawewe ukweli unakuuma bora unifute tu humu jf! Utasaidia na bando zangu.
 
Mkuu ubongo wako ni mdogo kama wa panya.
Tangia mwaka 2015 nilianza utafiti ndani ya chama cha chadema baada ya kuwa chana kikuu cha upinzani bungeni.

sababu za utafiti....
Nibaada ya Dr w.slaa kuamua kuondoka chadema kisa akiwa mh.E.N.Lowasa.

misingi yangu ya utafiti ilizingatia mambo yafuatayo
1.kauri ya mh f.mbowe kuwa dr slaa aliondoka sababu yakunyimwa kugombea uraisi
2.kauri ya mh mbowe kuwa mzee lowasa alikuwa na mtaji kuja kwake chadema.

mambo haya yaliniongoza kubaini yafuatayo...
mh mbowe alilenga kuongeza rudhuku na mapato ya chama nasiyo yachama kuongoza nchi na kuwaletea ukombozi wananchi wamabo waliyokuwa wakihubiri nahivyo ikanipa majibu yakwamba Dr slaa hakuwa na uchu wa uraisi km sababu zilizotolewa na mbowe.

hii ilinifanya kupata majibu ya msingi wa kwanza wasababu za dr w.slaa kuondoka chadema nanikaamini alichokisema dr slaa.
kufikia leo wakati naleta summary ya utafiti huu nimeniridhisha na kile nilichobaini ktk utafiti wangu kuwa ! Nikweli mh mbowe lengo lake lakumpokea mh Lowasa ilikuwa ni MA- PESA
Nabaada ya kuzipata nimebaini kuwa ametengeneza matundu haya yafuatayo kujinufaisha na pesa za chama yeye na kundi lake.
matundu hayi ni...
1.Mawakiri... amekuwa mtengeneza vurugu ili chama kipate kesi atumie mawakiri kupiga pesa! Maana wakiri msomi km kibataraa niwakiri wa viwango vya juu halipwi hela ya nyanya.
ndio maana kila mara anatafta migogoro yakuperekwa mahakamani kila mara kuelekea uchaguzi ili baada ya uchaguzi akutwe amekomba account yte.
Mtu anaweza kuuliza kwanini asichote tu pesa! Jibu nikwamba CAG wasasa hana mahusiano nae km alivyokuwa prophesor.
tundu la pili. Ni anatumia matibabu ya tundu lisu na baadhi ya wabunge walio ktk timu yake kupiga pesa pale wanapo ugua au kutengeneza ugonjwa wakwenda kutibiwa nje ya nchi. Nadhani mnawajua.
kama hamuwajui angalieni ndani ya chadema wabunge wanawake wanaoongoza kwenda kutibiwa nje ya nchi akiwemo yeye mwenyewe..hili nalo ni tundu.
Tundu jingine ni.sare za chama, bendera ,kumbi za warsha na mikutano, pamoja na ukodishaji wa ndege za kusafiria bila sababu za msingi.
huu ni muhitasali tu wa utafiti! Utafiti wote nitauweka kupitia magazeti na kitabu nitakachokitoa hivi karibuni ambacho nimekipa jina la Niwapi kilipoanguka chama kikuu cha upinzani bungeni chadema?
lakini pia nitafanya mahojiano na vyombo vya habari kupitia runinga very soon.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tangia mwaka 2015 nilianza utafiti ndani ya chama cha chadema baada ya kuwa chana kikuu cha upinzani bungeni.

sababu za utafiti....
Nibaada ya Dr w.slaa kuamua kuondoka chadema kisa akiwa mh.E.N.Lowasa.

misingi yangu ya utafiti ilizingatia mambo yafuatayo
1.kauri ya mh f.mbowe kuwa dr slaa aliondoka sababu yakunyimwa kugombea uraisi
2.kauri ya mh mbowe kuwa mzee lowasa alikuwa na mtaji kuja kwake chadema.

mambo haya yaliniongoza kubaini yafuatayo...
mh mbowe alilenga kuongeza rudhuku na mapato ya chama nasiyo yachama kuongoza nchi na kuwaletea ukombozi wananchi wamabo waliyokuwa wakihubiri nahivyo ikanipa majibu yakwamba Dr slaa hakuwa na uchu wa uraisi km sababu zilizotolewa na mbowe.

hii ilinifanya kupata majibu ya msingi wa kwanza wasababu za dr w.slaa kuondoka chadema nanikaamini alichokisema dr slaa.
kufikia leo wakati naleta summary ya utafiti huu nimeniridhisha na kile nilichobaini ktk utafiti wangu kuwa ! Nikweli mh mbowe lengo lake lakumpokea mh Lowasa ilikuwa ni MA- PESA
Nabaada ya kuzipata nimebaini kuwa ametengeneza matundu haya yafuatayo kujinufaisha na pesa za chama yeye na kundi lake.
matundu hayi ni...
1.Mawakiri... amekuwa mtengeneza vurugu ili chama kipate kesi atumie mawakiri kupiga pesa! Maana wakiri msomi km kibataraa niwakiri wa viwango vya juu halipwi hela ya nyanya.
ndio maana kila mara anatafta migogoro yakuperekwa mahakamani kila mara kuelekea uchaguzi ili baada ya uchaguzi akutwe amekomba account yte.
Mtu anaweza kuuliza kwanini asichote tu pesa! Jibu nikwamba CAG wasasa hana mahusiano nae km alivyokuwa prophesor.
tundu la pili. Ni anatumia matibabu ya tundu lisu na baadhi ya wabunge walio ktk timu yake kupiga pesa pale wanapo ugua au kutengeneza ugonjwa wakwenda kutibiwa nje ya nchi. Nadhani mnawajua.
kama hamuwajui angalieni ndani ya chadema wabunge wanawake wanaoongoza kwenda kutibiwa nje ya nchi akiwemo yeye mwenyewe..hili nalo ni tundu.
Tundu jingine ni.sare za chama, bendera ,kumbi za warsha na mikutano, pamoja na ukodishaji wa ndege za kusafiria bila sababu za msingi.
huu ni muhitasali tu wa utafiti! Utafiti wote nitauweka kupitia magazeti na kitabu nitakachokitoa hivi karibuni ambacho nimekipa jina la Niwapi kilipoanguka chama kikuu cha upinzani bungeni chadema?
lakini pia nitafanya mahojiano na vyombo vya habari kupitia runinga very soon.
Kajifunze lugha kwanza ndio urudi kutype
 
Back
Top Bottom