Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mr. Benzi 😁😁
Umeielewa title ya uzi lakinitajiri unachana mkeka . sema labda brevis ile yenye 3.0 Litre ile unyamaa . ila ka premio mmmh
Unaogopa mke kukulwaBora ufute kisahani ukianguka ufe kabisa kuliko kubakia kilema wa kiuno halafu mkeo aliwe na masela.
Ila mimi speed yangu mwisho 120, tena mara chache sana
Vitz new modelWalioweka Maximum speed sio wajinga. Kutana na highway uko USA, Death Valley park.
View attachment 3046664
Chuma gani ukiipata hapa unafuta kisahani bila kujifikiria mara mbili?
Inategemea uko wapi na una chuma gani na unaenda wapi!!Bora ufute kisahani ukianguka ufe kabisa kuliko kubakia kilema wa kiuno halafu mkeo aliwe na masela.
Ila mimi speed yangu mwisho 120, tena mara chache sana
Balaa tupu hii.
Ndio maana yake, hiyo chuma ni hatari.. 360km/hr kama kawaidaBalaa tupu hii.
Utakuta dashboard inasoma 360km/hr
Kwa barabara za bongo labda 200kphNdio maana yake, hiyo chuma ni hatari.. 360km/hr kama kawaida
kuna barabara kama gari ina nguvu unafika hata 240kph.. kipindi na mjerumani nilikuwa nagusa hiyo speedKwa barabara za bongo labda 200kph
Bongo bado lakini.Ndio maana yake, hiyo chuma ni hatari.. 360km/hr kama kawaida
Shida hawa manesikuna barabara kama gari ina nguvu unafika hata 240kph.. kipindi na mjerumani nilikuwa nagusa hiyo speed
Haya rudi kwenye madaKwani masela wanasubiri uteguke kiuno kama wa kulika atalika tu
kujilipua tu..Shida hawa manesi
Uwe na afu 2 mbilikujilipua tu..
Depal 😊Mr. Benzi 😁😁
niweke kwenye buti tu