kabwigwa
JF-Expert Member
- May 17, 2014
- 933
- 1,540
Habari wanajamvi,
Kumekua na malalamiko katika familia nyingi sana kuhusiana na jinsi₍ jinsia₎ ya watoto.Waweza kukuta mzazi anazaa watoto wa kike tu au kinyume chake hii inapunguza furaha na kuleta mifarakano katika jamii.
Kwakutumia Calenda ya kichina iitwayo Chinese Lunar Calendar waweza kupata jinsia ya mtoto umtakaye. Kalenda hii inaanza kusoma kuanzia miaka kumi na nane ₍ 18₎mpaka miaka arobaini na tano₍45₎
Unachotakiwa kufanya ni kuangalia umri wa mama ambao upo upande wa juu wa chat na miez ambayo ipo upande wa kushoto kwa chat, na mwezi ambao utaonyesha ni mtoto wa aina gani anapatikana katika mwezi husika, mfano mama /mwanamke ana miaka ishirini na tisa₍29₎ na anataka mtoto wa kiume, akiangalia kwenye kalenda ataona kuwa kwa umri wake miezi ya kupata mtoto wa kiume ni mwez 2,5,6,7,8 na wa 9.cha kuzingatia ni mama/mwanamke kutokudanganya tu umri wake. Kinachoangaliwa ni siku katika mwezi mimba ilipoingia/itakapo ingia na umri wa mama.
NB: Kalenda hii imekua ikitumika huko china kwa miaka na mikaka, binafsi nimeshaifanyia majaribio na imethitisha jinsia ya mtoto kwa asilimia 99 kwa ambao hawakudanganya umri.
Nimeambatanisha hiyo kalenda.
Kumekua na malalamiko katika familia nyingi sana kuhusiana na jinsi₍ jinsia₎ ya watoto.Waweza kukuta mzazi anazaa watoto wa kike tu au kinyume chake hii inapunguza furaha na kuleta mifarakano katika jamii.
Kwakutumia Calenda ya kichina iitwayo Chinese Lunar Calendar waweza kupata jinsia ya mtoto umtakaye. Kalenda hii inaanza kusoma kuanzia miaka kumi na nane ₍ 18₎mpaka miaka arobaini na tano₍45₎
Unachotakiwa kufanya ni kuangalia umri wa mama ambao upo upande wa juu wa chat na miez ambayo ipo upande wa kushoto kwa chat, na mwezi ambao utaonyesha ni mtoto wa aina gani anapatikana katika mwezi husika, mfano mama /mwanamke ana miaka ishirini na tisa₍29₎ na anataka mtoto wa kiume, akiangalia kwenye kalenda ataona kuwa kwa umri wake miezi ya kupata mtoto wa kiume ni mwez 2,5,6,7,8 na wa 9.cha kuzingatia ni mama/mwanamke kutokudanganya tu umri wake. Kinachoangaliwa ni siku katika mwezi mimba ilipoingia/itakapo ingia na umri wa mama.
NB: Kalenda hii imekua ikitumika huko china kwa miaka na mikaka, binafsi nimeshaifanyia majaribio na imethitisha jinsia ya mtoto kwa asilimia 99 kwa ambao hawakudanganya umri.
Nimeambatanisha hiyo kalenda.