Chagua jinsia ya mtoto umtakaye

Chagua jinsia ya mtoto umtakaye

Haa Mambo Hayo Wakuu
Hebu Huyo Mtaalamu Atueleze
Mwanamke Wa Kuzaliwa 1984
Hebu Fafanua

Wa Kike Miezi Gani Na Wa Kiume Miezi Gani
Maana Wote Ninao Halafu Nilinganishe Miezi Waliozaliwa Kama Kweli
Ok mkuu ishu sio miezi waliozaliwa tunaangalia conceiving month(mweziambao mimba iliingia).Kwa mwanamke wa 1984 manake ana miaka 32 miezi ya boys ni January,March na December iliyobaki yote ni watoto wa kike
 
Ok mkuu ishu sio miezi waliozaliwa tunaangalia conceiving month(mweziambao mimba iliingia).Kwa mwanamke wa 1984 manake ana miaka 32 miezi ya boys ni January,March na December iliyobaki yote ni watoto wa kike
Haa Kiongozi Sasa Hiyo Miezi Uliyotaja Ni Kwa Mwaka 2016

Sasa Mwakani 2017 Atakuwa Na Umri Wa Zaidi
 
Hii Teknolojia Kweli Mkuu Ni Ya Kichina Kama Ulivyosema Nimekumbuka Mbali
Ila Shukrani Maana Sasa Hivi Tupo Kwenye Government Of Industries

Hii Mkuu Lazima Itakuwa Ya Kuufunga 2016 Tunapoelekea Kwenye 2017
Nimependa Pamoja Na Ugumu Wa Maisha Ila Mkulu Alisema Sasa Ni Kufyatua Watoto Halafu Yeye Atawasomesha Hadi Kidato Cha Nne.
 
Kiki tu hakuna ukweli
Unaelewa maana ya kiki?Mimi nimeamua kushare knowledge niliyokua nayo from no where unakuja na hoja zisizo na mpango.Sihitaj kiki mana hakuna anayenijua humu na sijahitaja hata senti tano mbovu,,kama uliona thread yangu haina mana ungepita tu kimya kimya sio kuja na bla bla zako
 
Back
Top Bottom