Chagua jinsia ya mtoto umtakaye

Chagua jinsia ya mtoto umtakaye

Sasa unasema inaishia miaka45, wakati inaishia 35! Hapo imekaaje?
 
Nimejaribu kufuatilia kwa watoto wangu,naona kuna kaukweli hapo,umri wa mama na miezi kwenye kalenda kweli inaonesha B, B. Ngoja niifuatilie naweza kupata G maana nilikuwa nawaza sana naweza kutafuta wa mwisho awe tena B jinsia moja hii kama hainogi.
Thanks jaribu ipo siku utarudi kutoa ushuhuda hapa
 
hebu fafanua kidogo isije ikawa tuashindwa kutafsiri miaka
ishu ni hivi mkuu wakati mimba inaingia huyo mwanamke alikua na miaka mingap? Ukitoa taarifa za uongo huwezi ukapata jibu sahihi
 
Habari wanajamvi,

Kumekua na malalamiko katika familia nyingi sana kuhusiana na jinsi₍ jinsia₎ ya watoto.Waweza kukuta mzazi anazaa watoto wa kike tu au kinyume chake hii inapunguza furaha na kuleta mifarakano katika jamii.

Kwakutumia Calenda ya kichina iitwayo Chinese Lunar Calendar waweza kupata jinsia ya mtoto umtakaye. Kalenda hii inaanza kusoma kuanzia miaka kumi na nane ₍ 18₎mpaka miaka arobaini na tano₍45₎

Unachotakiwa kufanya ni kuangalia umri wa mama ambao upo upande wa juu wa chat na miez ambayo ipo upande wa kushoto kwa chat, na mwezi ambao utaonyesha ni mtoto wa aina gani anapatikana katika mwezi husika, mfano mama /mwanamke ana miaka ishirini na tisa₍29₎ na anataka mtoto wa kiume, akiangalia kwenye kalenda ataona kuwa kwa umri wake miezi ya kupata mtoto wa kiume ni mwez 2,5,6,7,8 na wa 9.cha kuzingatia ni mama/mwanamke kutokudanganya tu umri wake. Kinachoangaliwa ni siku katika mwezi mimba ilipoingia/itakapo ingia na umri wa mama.

NB: Kalenda hii imekua ikitumika huko china kwa miaka na mikaka, binafsi nimeshaifanyia majaribio na imethitisha jinsia ya mtoto kwa asilimia 99 kwa ambao hawakudanganya umri.
Nimeambatanisha hiyo kalenda.
Mbona hamna kuanzia 36yrs old??
 
Mkuu ngoja nikajaribu kama nitapata baby gal ila naona muda umepita itakuaje
 
Yaani sisi watanzania sijui tupoje tu, wenzetu wamefanya tafiti wamekupa ujaribu wewe unakuja unapinga tu bila fact yoyote et Mungu ndio anaamua jinsia[emoji31] [emoji31]
Nani alikuambia Mungu anaamua jinsia?
 
Haa Mambo Hayo Wakuu
Hebu Huyo Mtaalamu Atueleze
Mwanamke Wa Kuzaliwa 1984
Hebu Fafanua

Wa Kike Miezi Gani Na Wa Kiume Miezi Gani
Maana Wote Ninao Halafu Nilinganishe Miezi Waliozaliwa Kama Kweli
 
Hahahahahaaaa wife ana miaka 31 na nikiangalia hapo ni mtoto wa kike miezi yote isipokuwa 1,3 na 12. Dah mwaka huu si wa kuzaa maana nahitaji baby boy!
 
Back
Top Bottom