kabwigwa
JF-Expert Member
- May 17, 2014
- 933
- 1,540
- Thread starter
- #21
Kwa mujibu wa hii kalenda itakua hivyo,binafsi sijawahi fanyia utafiti kwa mapacha ila kwa wanawake wa kawaida ilileta matokeo chanya.But hulazimishwi kumesa fanya kautafiti kadogo kwa ndugu na marafiki wajawazito wakutajie umri wao na mwez mimba ilipoingia then subiri wakati wa kujifungua then utakuja na majibu kama ni kwel au uongoDuh....kwa hivyo wanawake wenye umri unaofanana (say wadada mapacha wenye 25 years) wakipata mimba leo hii (19 December 2016) wote watapata watoto wa kiume? Ngumu sana kumesa hii.