Uchaguzi 2020 Chagua Ramadhan Ighondo kwa maendeleo ya Singida kaskazini

Uchaguzi 2020 Chagua Ramadhan Ighondo kwa maendeleo ya Singida kaskazini

Fundi Madirisha

Senior Member
Joined
Jun 30, 2020
Posts
184
Reaction score
988
Mpeni kura Ramadhani Ighondo watu wa Singida kaskazini mpate maendeleo. Acheni mazoea kwa Nyalandu atawapa nini?
Ameshindwa kuwaletea maendeleo akiwa CCM mtayapata akiwa CHADEMA?
 
IMG-20200925-WA0010.jpg
 
Uhusika wake kwenye issue ya Dr. Ulimboka unamuondolea sifa ya kuwa mgombea. Ni watu wa aina hii ambao watawashughulikia kishenzi wapinzani wao na mwisho wnanchi kwa ujumla. CCM kutuletea mtu kama huyu ni kutuona kuwa tu maboya tusio jua chochote. Apewe a BIG NO.

Mpeni kura Ramadhani Ighondo watu wa Singida kaskazini mpate maendeleo. Acheni mazoea kwa Nyalandu atawapa nini? Ameshindwa kuwaletea maendeleo akiwa CCM mtayapata akiwa CHADEMA?
 
Mpeni kura Ramadhani Ighondo watu wa Singida kaskazini mpate maendeleo. Acheni mazoea kwa Nyalandu atawapa nini?
Ameshindwa kuwaletea maendeleo akiwa CCM mtayapata akiwa CHADEMA?
Kweli mtu akifilisika kisiasa huwa ni shida, alishindwa kuleta maendeleo akiwa CCM, akiwa CHADEMA ndio kabisa, mnatengeneza bomu hamtaweza kulitegua,siku wananchi wakidai hawatalipa kodi kwa sababu hawajamchagua mtu wa CCM mtawafanyaje.
 
Mpeni kura Ramadhani Ighondo watu wa Singida kaskazini mpate maendeleo. Acheni mazoea kwa Nyalandu atawapa nini?
Ameshindwa kuwaletea maendeleo akiwa CCM mtayapata akiwa CHADEMA?
Asiye julikana atawateka ninyi na vitunguu vyenu vya meryaa hadi mseme gwajifya
 
Back
Top Bottom