Ndama dume
JF-Expert Member
- Nov 1, 2019
- 858
- 1,484
Nilishawaambia uko wangu mzima kwanzia Ikhanoda hadi Mpambaa kuwa huyu ni zaidi ya shetani hafai hadi kwa dawa uzuri ukoo wangu ni mkubwa na unaniheshimu hivyo akaendelee na kibarua chake cha kuwatanguliza wenzake mbinguni huku yeye akisubiri Jehanum kwa nguvu zote