Chagua wachezaji watatu ambao ni viungo wakabaji (CDM) bora wa muda wote?

Chagua wachezaji watatu ambao ni viungo wakabaji (CDM) bora wa muda wote?

Eli Cohen

JF-Expert Member
Joined
Jun 19, 2023
Posts
4,460
Reaction score
13,715
1: Gattuso
Screenshot_20240906-161542.png


2: Makelele
Screenshot_20240906-160351.png


3: Edgar Davids
Screenshot_20240906-160517.png


4: Roy Keane
Screenshot_20240906-161210.png


5: Casemiro
Screenshot_20240906-161732.png


6: Busquets
Screenshot_20240906-160811.png


7: Vieira
Screenshot_20240906-160438.png


8: Dunga
Screenshot_20240906-160720.png


9: Deschamps
Screenshot_20240906-161810.png


10: Kante
Screenshot_20240906-161356.png


11: Mathaus
Screenshot_20240906-160121.png


12: Rijkaard
Screenshot_20240906-160211.png


13: Falcao
Screenshot_20240906-160941.png


14: Redondo
Screenshot_20240906-161100.png


15: Alonso
Screenshot_20240906-161918.png


16:Rodri
Screenshot_20240906-162038.png


17: Tigana
Screenshot_20240906-163152.png


18: Rossi
Screenshot_20240906-163543.png
 

Attachments

  • Screenshot_20240906-160438.png
    Screenshot_20240906-160438.png
    960.3 KB · Views: 1
  • Screenshot_20240906-163057.png
    Screenshot_20240906-163057.png
    1.3 MB · Views: 1
Busquets jamaa kaleta mapinduzi makubwa sana kwenye hiyo namba so kwangu ndiye namba moja,then Claudio Makelele,halafu Captain Dunga hawa ni aina ya wachezaji wasio onekana, ila wakikosekana ndipo unajua umuhimu wake kwenye timu.
 
Busquets jamaa kaleta mapinduzi makubwa sana kwenye hiyo namba so kwangu ndiye namba moja,then Claudio Makelele,halafu Captain Dunga hawa ni aina ya wachezaji wasio onekana, ila wakikosekana ndipo unajua umuhimu wake kwenye timu.
Mkuu, hivi role ya Busquets haikuwahi kuchezwa na Pirlo hapo kabla?
 
Mkuu, hivi role ya Busquets haikuwahi kuchezwa na Pirlo hapo kabla?
Nitakueleza kwa uelewa wangu, japo naweza nisiwe sahihi sana

Pirlo alikua central midfielder, kwenye hii position kuwa yule anakua more of attacking na yule anakua more of defensive.
Pirlo hakuwa natural defensive, ndio maana unaona kwa miaka zaidi ya 10 aliyokaa Ac Milan defensive alikua ni Gattuso.

Lakini zipo mechi Pirlo aliswitch kama defensive,na hii ilikuja baadae na pengine ni sababu ya influence ya Busquets, maan ilionekana defensive sio lazima atumie nguvu na kukaba sana. Pia Pep ndio alikuja kuiweka sawa hii kitu tofauti na dhana iliyokuwepo. Uliona hata Bayern kule alimbadilisha hadi beki wa pembeni Joshua Kimmich na kumuweka namba 6
Man city pia zipo mechi nyingi tu anammchezesha Rico Lewis kama namba 6
 
Nitakueleza kwa uelewa wangu, japo naweza nisiwe sahihi sana

Pirlo alikua central midfielder, kwenye hii position kuwa yule anakua more of attacking na yule anakua more of defensive.
Pirlo hakuwa natural defensive, ndio maana unaona kwa miaka zaidi ya 10 aliyokaa Ac Milan defensive alikua ni Gattuso.

Lakini zipo mechi Pirlo aliswitch kama defensive,na hii ilikuja baadae na pengine ni sababu ya influence ya Busquets, maan ilionekana defensive sio lazima atumie nguvu na kukaba sana. Pia Pep ndio alikuja kuiweka sawa hii kitu tofauti na dhana iliyokuwepo. Uliona hata Bayern kule alimbadilisha hadi beki wa pembeni Joshua Kimmich na kumuweka namba 6
Man city pia zipo mechi nyingi tu anammchezesha Rico Lewis kama namba 6
Pirlo alianza kabla ya busquets,
 
Back
Top Bottom