Chagua wachezaji watatu ambao ni viungo wakabaji (CDM) bora wa muda wote?

Chagua wachezaji watatu ambao ni viungo wakabaji (CDM) bora wa muda wote?

Mfano mimi ukiniwekea Pirlo ni huyu mwamba Emerson na mchagua huyu.Mtoa mada amemsahau ila hili jembe lina kazi sio ya kitoto.
View attachment 3089416

Pirlo mzuri kweli,ila kwenye kupokonya mipira,bado wa kawaida,ila Pirlo mzuri sana kwenye kupiga pasi yupo vizuri, faulo,Kona yupo vizuri,ila ile kukichafua pale kati sio kivile.Ndio Maana pale kati AC Milan alikiwa ana saidiwa sana na Gatuso pamoja na Seedorf na Juve alikuwa anasaidiwa na Aturo Vidal.

Bado kuna mashine nyingine
,hiyo Gilberto Silva ile Arsenal ya Invisible mwamba alikuwa haonekani sana wala kuimbwa ila shughuli yake pale kati sio ya kitoto.
View attachment 3089413

Kwa kifupi kwenye hii list kwa mtizamo wangu amekosekana Mascherano, Gilberto Silva na Emerson.
Emerson hakua DM
Labda kama nimesahau
 
Mfano mimi ukiniwekea Pirlo ni huyu mwamba Emerson na mchagua huyu.Mtoa mada amemsahau ila hili jembe lina kazi sio ya kitoto.
View attachment 3089416

Pirlo mzuri kweli,ila kwenye kupokonya mipira,bado wa kawaida,ila Pirlo mzuri sana kwenye kupiga pasi yupo vizuri, faulo,Kona yupo vizuri,ila ile kukichafua pale kati sio kivile.Ndio Maana pale kati AC Milan alikiwa ana saidiwa sana na Gatuso pamoja na Seedorf na Juve alikuwa anasaidiwa na Aturo Vidal.

Bado kuna mashine nyingine
,hiyo Gilberto Silva ile Arsenal ya Invisible mwamba alikuwa haonekani sana wala kuimbwa ila shughuli yake pale kati sio ya kitoto.
View attachment 3089413

Kwa kifupi kwenye hii list kwa mtizamo wangu amekosekana Mascherano, Gilberto Silva na Emerson.
Sidhani hata Sergio kwenye kukichafua alikuwa master. Ila upekee wao kwa namna ya kuitoa timu nyuma ndio umewapa heshima waliyonayo.

Wazee wa kukichafua kama akina Genaro, Claude, Roy, Gilberto, Emerson, Javier n.k nao wanapepo yao kaka.
 
Sidhani hata Sergio kwenye kukichafua alikuwa master. Ila upekee wao kwa namna ya kuitoa timu nyuma ndio umewapa heshima waliyonayo.

Wazee wa kukichafua kama akina Genaro, Claude, Roy, Gilberto, Emerson, Javier n.k nao wanapepo yao kaka.
Sergio na Pirlo, Sergio yupo vizuri kuliko Pirlo kwenye kukichafua. Ndio maana Busquets hanaga mambo mengi, baada ya kupora mpira.
 
Nakuelewa. Naelewa pia utata wa namna Pirlo na Gattuso walivyotumika. Coz historia inaeleza na kuweka wazi kuwa GG alikuwa mkabaji hatari sana.

Ila, katika mechi tuliona matumizi ya Pirlo yalivyokuwa. Wakati mwingi angecheza juu ya mabeki wa kati na General Rhino angekuwa anachafua zaidi juu yake.
Nimefurahi kuona wakongwe kadhaa wakiweka mambo sawa kwa rekodi na kumbukumbu murua hasa za mechi za CL.

Hivyo tunaweza kusema Busquets atapewa heshima kwa kustahimili role hiyo kwa muda mrefu ila wapo watu ambao walishafanya hayo kabla yake na kwa ustadi mkubwa kama Andrea.. Wakongwe mzabzab makaveli10 tuondoleeni utata.
Unajua pirlo hii haikua namba yake halisi aliswitch mwishoni. Kuna press moja alifanyaga Ancelotti japo sikumbuki lini lakini alikua akizungumzia jinsi alivyokuja kumbadilisha pirlo na kumsitch kwenye holding midfield.

Busquets ni natural DM, kutokana na aina ya wachezaji waliokua DM kabla yake ndio inafanya mm namrate juu kwenye hiyo nafasi. Ndio maana unaona hata kiungo mgumu kabisa mascherano ilibidi awe beki wa kati, hii kuonyesha kuwa sasa nafasi ya namba 6 sio lazima uwe mgumu na kukaba sana. Watu wanawazungumza sana Xavi na Iniesta, lakini walifanya Yale yote sababu ya uwepo wa sergio pale chini yao.

Hata hivyo heshima pia kwa Pirlo
 
Ninavyoelewa mie kwa italia kuna positions mbili kuu...regista na trequatista. Regista anacheza chini na trequatista ni namba kumi.
Pirlo mwanzoni alikuwa acheze kama namba kumi i.e. trequatista but hana mobility kubwa but had excellent passing skills. Hivyo basi wakaona wamshushe aje kucheza kama namba sita, regista kwa sababu atakuwa na muda na nafasi ukijumlisha umahiri wake wakupiga pasi basi ataweza kupiga pass hatari akiwa katika position hii.

Kutokana na kwamba hana uwezo wa kukaba sana but still ubora wake wa pass unahitajika ndio maana don carlo akaweka pembeni yake watu wa shughuli, gattusso na ambrossini.

Vile vile alivyotoka ac na kwenda juventus, conte aliendekea kumtumia hivyo hivyo albeit yeye conte alikuwa anatumie 3-5-2 formation.
Pembeni ya pirlo alikuwa paul pogba na macchissio ambao ndio walikuwa ndio wapokonyaji mipira kwa asilimia kubwa.

Kwa mtazamo wangu tofauti kuu kati ya pirlo na busquet ni range of passing, pirlo alikuwa na uwezo wakumsaka mchezaji kwa pass ya mita 50 while busquete hakuwa na uwezo huo.
Shida ya watu wengi ni kumuona Genaro pembeni ya Pirlo huku wakisahau kuwa Andrea alikuwa akicheza chini zaidi ya Genaro.

Ila kwa namna ulivyotukumbusha kwanini Genaro na watu kama Marchisio kuwa pembeni ya Andrea ni wazi umeondoa matongotongo kadhaa katika hili. Kama kuna kilichobaki wengine watajazia.
 
Ndio maana nilitamani watu wampe heshima Pirlo japo Sergio nae anastahili heshima yake. Ni kama wanaouona mpira sasa wanaamini Busquets ndie mtu wa kwanza kufanya anachofanya kwa ubora.
Mpira haujaanza jana wala juzi, vitu vinatokea hivi karibuni basi huko nyuma vishatokea, kuanzia tiktaka, false 9, na mazagazaga mengine, ukiona kwenye uzao wako haimaanishi haikuwepo.
Katika nafasi hiyo binafsi pirlo namkubali zaidi, sisemi busqueta mbovu, ila pirlo kwangu ni balaa, ahort passes, long passes, kaonesha akiwa na timu tofauti tofauti.
 
Nakuelewa. Naelewa pia utata wa namna Pirlo na Gattuso walivyotumika. Coz historia inaeleza na kuweka wazi kuwa GG alikuwa mkabaji hatari sana.

Ila, katika mechi tuliona matumizi ya Pirlo yalivyokuwa. Wakati mwingi angecheza juu ya mabeki wa kati na General Rhino angekuwa anachafua zaidi juu yake.
Nimefurahi kuona wakongwe kadhaa wakiweka mambo sawa kwa rekodi na kumbukumbu murua hasa za mechi za CL.

Hivyo tunaweza kusema Busquets atapewa heshima kwa kustahimili role hiyo kwa muda mrefu ila wapo watu ambao walishafanya hayo kabla yake na kwa ustadi mkubwa kama Andrea.. Wakongwe mzabzab makaveli10 tuondoleeni utata.
Wachezaji kariba ya Busquets walikuwepo(maDM wanyumbulifu) wapo toka enzi za kina pele, kina redondo hao, xabi alonso, falcao.. Kuna mido moja ilicheza brazil ya kina pele, niliiona nikiwa natizama game za nyuma huko, aisee ni kiungo wa chini lakini ni mido bamia mido kisheti, anasambaza upendo hatari..

Katika kila namba basi kuna kaliba fulani ya mchezaji, sababu tumeumbwa hivyo mafanikio au kutokufanikiwa ni kesi nyingine, wazee wa udambwi dambwi waburudiahaji wapo toka enzi hizo.
Namba 9 ya halland, aio ya thierry Henry wala sio ya aguero, cesc fabregas sio steven Gerrard, 10 ya ozil sio dennis bergkamp, ukifatilia utakuta dennis berkgamp uchezaji wake una watu wake. Na kila mchezaji anatumika na mwalimu anavyotaka kwa mchezaji, ndio maana si ajabu kuja mwalimu akakuambia chama hanifai..
 
Emerson hakua DM
Labda kama nimesahau
Screenshot_20240907_203153_Chrome.jpg
 
Mpira haujaanza jana wala juzi, vitu vinatokea hivi karibuni basi huko nyuma vishatokea, kuanzia tiktaka, false 9, na mazagazaga mengine, ukiona kwenye uzao wako haimaanishi haikuwepo.
Katika nafasi hiyo binafsi pirlo namkubali zaidi, sisemi busqueta mbovu, ila pirlo kwangu ni balaa, ahort passes, long passes, kaonesha akiwa na timu tofauti tofauti.
Unachokisema si wengi wanakielewa. Watu husema Pep ndie alikuwa wa kwanza kuleta role hiyo kwa kuja na Sergio na ndio maana nikataka watu wengi waelewe ulilolisema vyema. Hasa katika hii erra ambapo mengi yaliweza kuonekana katika TV kwa ubora. Binafsi mimi nakuelewa.
 
Back
Top Bottom