Chagua wachezaji watatu ambao ni viungo wakabaji (CDM) bora wa muda wote?

Chagua wachezaji watatu ambao ni viungo wakabaji (CDM) bora wa muda wote?

Gattuso alicheza ipi? But kama position unaangalia jinsi lineup ilivyokaa utapotea
Sio lineup tu, mpaka majukumu.

Kwenye 4-4-2 diamond formation, pirlo alikuwa DM, gattuso akiwa RM, fundi wa kiholanzi seedorf aliwa RM na RICARDO Ernesto almangungule KAKA kibraza akiwa AM

Pirlo alikuwa ni CM na pia akitumika kama DM, akihudumu kama deep lying playmaker muite REGISTA
 
Sio lineup tu, mpaka majukumu.

Kwenye 4-4-2 diamond formation, pirlo alikuwa DM, gattuso akiwa RM, fundi wa kiholanzi seedorf aliwa RM na RICARDO Ernesto almangungule KAKA kibraza akiwa AM

Pirlo alikuwa ni CM na pia akitumika kama DM, akihudumu kama deep lying playmaker muite REGISTA
Nisibishe sana maana mechi ya muda mrefu, lakini kwa kipindi hicho DM wa ac Milan alikua nj Gattuso. But inawezekana ilitokea tu kwenye hiyo mechi kama ambavyo Pep aliamua kumchezesha kiungo John stones kwenye final mwaka juzi 2023
Au alipomchezesha Yaya Toure beki wa Kati kwenye final ya 2009
 
Sio lineup tu, mpaka majukumu.

Kwenye 4-4-2 diamond formation, pirlo alikuwa DM, gattuso akiwa RM, fundi wa kiholanzi seedorf aliwa RM na RICARDO Ernesto almangungule KAKA kibraza akiwa AM

Pirlo alikuwa ni CM na pia akitumika kama DM, akihudumu kama deep lying playmaker muite REGISTA
Ilikuwa 4-3-2-1 formation au christmas tree formation.
Yes pirlo alicheza kama regista huku seadorf na kaka wakiwa the two trequatistas
 
Kante na Makelele hao wajomba wasifananishwe na Kenge yoyote .
Hao miamba wana sayari yao ya kipekee
 
Kante na Makelele hao wajomba wasifananishwe na Kenge yoyote .
Hao miamba wana sayari yao ya kipekee
 
Nisibishe sana maana mechi ya muda mrefu, lakini kwa kipindi hicho DM wa ac Milan alikua nj Gattuso. But inawezekana ilitokea tu kwenye hiyo mechi kama ambavyo Pep aliamua kumchezesha kiungo John stones kwenye final mwaka juzi 2023
Au alipomchezesha Yaya Toure beki wa Kati kwenye final ya 2009
Nakutajia game kubwa sababu ni rahisi kuzikumbuka, lakini unaweza pata record zake easy..

Nakuongezea nyingine, michuano ya euro 2012 pirlo alitumika kama deeplying playmaker, ile fainali alianzia chini, wakazidiwa mwalimu akatoa ricardo montonolivo, akatia fundi thiago motta(nae alikuwa anasifa hizo za kucheza nafasi hiyo) ili pirlo asogee juu, bahati haikuwa kwa italy, bahati mbaya motta akaumia msuli na ndio ilikuwa sub ya mwisho kama sikosei, wakacheza pungufu, wakaja kupigwa chuma mbili dk za 80+ hivi.
Misimu mingi tu pirlo alikuwa ni REGISTA

Juzi juzi tu hapa fainali 2015 juve anakufa 3-1 kwa barca, pirlo ni dm mido ni claudio marchisio, mido pogba, juu yao sijui ni vidal yule sikumbuki vizuri.

Kwenye list kuna watu hapo unaweza sema ni CM, hao ni mamido bamia, mido visheti unaweza kusema ni CM, ila wanacheza chini, wanaikamata timu, wanaichezesha timu, wanaiamuru timu.
 
Nakutajia game kubwa sababu ni rahisi kuzikumbuka, lakini unaweza pata record zake easy..

Nakuongezea nyingine, michuano ya euro 2012 pirlo alitumika kama deeplying playmaker, ile fainali alianzia chini, wakazidiwa mwalimu akatoa ricardo montonolivo, akatia fundi thiago motta(nae alikuwa anasifa hizo za kucheza nafasi hiyo) ili pirlo asogee juu, bahati haikuwa kwa italy, bahati mbaya motta akaumia msuli na ndio ilikuwa sub ya mwisho kama sikosei, wakacheza pungufu, wakaja kupigwa chuma mbili dk za 80+ hivi.
Misimu mingi tu pirlo alikuwa ni REGISTA

Juzi juzi tu hapa fainali 2015 juve anakufa 3-1 kwa barca, pirlo ni dm mido ni claudio marchisio, mido pogba, juu yao sijui ni vidal yule sikumbuki vizuri.

Kwenye list kuna watu hapo unaweza sema ni CM, hao ni mamido bamia, mido visheti unaweza kusema ni CM, ila wanacheza chini, wanaikamata timu, wanaichezesha timu, wanaiamuru timu.
Post 2010, nakubali aliswitch position
 
Back
Top Bottom