Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 20,694
- 32,527
But nilikua disappointed sana, nilitamani deportivo aende mbele.Hiyo hiyo ya kina kaka, 2004 ile, san siro anampiga chuma 4-1, anaenda spain anampiga chuma 4 kavu, deportivo anakuja kutoka nusu fainali kwa porto ya mourinho... Ugenini 0-0, nyumbani anakufa 1-0
Monaco walikua vizuri sana nao wakanidisappoint kwenye final. Nilikua namkubali Sana Jerome Rothem, sijui kwa nn hakupataga timu kubwa
Hiyo Porto nilikua namkubali sana fundi Carlos Alberto, alikua na style ya kuweka plasta puani. Nae hakupataga bahati ya kwenda timu kubwa