Chagua wachezaji watatu ambao ni viungo wakabaji (CDM) bora wa muda wote?

Eli Cohen

JF-Expert Member
Joined
Jun 19, 2023
Posts
4,460
Reaction score
13,715
1: Gattuso


2: Makelele


3: Edgar Davids


4: Roy Keane


5: Casemiro


6: Busquets


7: Vieira


8: Dunga


9: Deschamps


10: Kante


11: Mathaus


12: Rijkaard


13: Falcao


14: Redondo


15: Alonso


16:Rodri


17: Tigana


18: Rossi
 

Attachments

  • Screenshot_20240906-160438.png
    960.3 KB · Views: 1
  • Screenshot_20240906-163057.png
    1.3 MB · Views: 1
Busquets jamaa kaleta mapinduzi makubwa sana kwenye hiyo namba so kwangu ndiye namba moja,then Claudio Makelele,halafu Captain Dunga hawa ni aina ya wachezaji wasio onekana, ila wakikosekana ndipo unajua umuhimu wake kwenye timu.
 
Busquets jamaa kaleta mapinduzi makubwa sana kwenye hiyo namba so kwangu ndiye namba moja,then Claudio Makelele,halafu Captain Dunga hawa ni aina ya wachezaji wasio onekana, ila wakikosekana ndipo unajua umuhimu wake kwenye timu.
Mkuu, hivi role ya Busquets haikuwahi kuchezwa na Pirlo hapo kabla?
 
Mkuu, hivi role ya Busquets haikuwahi kuchezwa na Pirlo hapo kabla?
Nitakueleza kwa uelewa wangu, japo naweza nisiwe sahihi sana

Pirlo alikua central midfielder, kwenye hii position kuwa yule anakua more of attacking na yule anakua more of defensive.
Pirlo hakuwa natural defensive, ndio maana unaona kwa miaka zaidi ya 10 aliyokaa Ac Milan defensive alikua ni Gattuso.

Lakini zipo mechi Pirlo aliswitch kama defensive,na hii ilikuja baadae na pengine ni sababu ya influence ya Busquets, maan ilionekana defensive sio lazima atumie nguvu na kukaba sana. Pia Pep ndio alikuja kuiweka sawa hii kitu tofauti na dhana iliyokuwepo. Uliona hata Bayern kule alimbadilisha hadi beki wa pembeni Joshua Kimmich na kumuweka namba 6
Man city pia zipo mechi nyingi tu anammchezesha Rico Lewis kama namba 6
 
Pirlo alianza kabla ya busquets,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…