Teko Modise
JF-Expert Member
- May 20, 2017
- 2,331
- 7,733
Katika majibizano yao huko X zamani Twitter, Martin alimshauri Evarist Chahali arudi Tanzania kuendeleza harakati za kupambanna dhidi ya CCM na sio kubeza na kuwaita Chadema waoga.
Evarist Chahali nae akamjibu Martin, mbona yeye Martin hajarudi kitengoni TISS?
Watu wakaanza kuhoji, kwanini Martin huwa akamatwi tangu utawala wa awamu ya sita uingie madarakani? Raia wameamini kuwa Martin ni kama double agent.
Evarist Chahali nae akamjibu Martin, mbona yeye Martin hajarudi kitengoni TISS?
Watu wakaanza kuhoji, kwanini Martin huwa akamatwi tangu utawala wa awamu ya sita uingie madarakani? Raia wameamini kuwa Martin ni kama double agent.