Chahali amtuhumu Martin Maranja Masese kuwa ni “mtu wa system”

Chahali amtuhumu Martin Maranja Masese kuwa ni “mtu wa system”

Unajua ni kwa nini kuna ukomo wa vipindi kwenye uongozi? Mbowe amekaa kwenye madaraka miaka 20 na bado anataka kuongoza iwe 25! Hiki ni kituko kwa zama hizi. Haya mambo yalikuwa common enzi za kina Nyerere lakini siyo sasa. Huyu akibahatika kuwa rais si atabadilisha katiba awe rais wa maisha? Na pia........ CHADEMA ni chama cha umma, bila wananchi na mashabiki, na wanachama wake hakitakuwepo. Wacha watu watoe maoni na Mbowe anatakiwa kupumzika.
Mbowe hatapumzika uongozi kwa shinikizo la wasio wanachama. Kama Kuchokwa kama unavyodai maana yake hao wanachama wa CHADEMA unaodai wanemchoka watamuondoa kwa njia ya kura, lakini kama watamchagua tena maana yake hawajamchoka.

Kama kuna mgombea anaungwa mkono aingie ulingoni lakini Mbowe hatamuachia mtu kiti kama zawadi.
 
Zitt, MMM na wengine wachache ni watu wa system. Mbow sio system ila ni mtu wa 💶💰💹💵 ndo maana wanaendana na chama cha majani.

Nimecheka sana hapo kwa Mbowe.

Kifupi Mbowe ni mfanyabiashara na muda wote kwake ni business, CDM sio dili saana kwake natukafikiri jamaa yuko serious kiviiile na siasa, yeye siasa kwake ni biashara.

Kingine wengi wasichojua, CDM chini ya Mbowe ni bargain chip ya matycoon wa kichaga dhidi ya CCM na System.

Tatizo la Lissu alikuwa serious akifikiri wenzie wako serious kama yeye, amekuja kugundua it's too late, amebaki mwenyewe na followers wasio na nguvu.
 
Unajua ni kwa nini kuna ukomo wa vipindi kwenye uongozi? Mbowe amekaa kwenye madaraka miaka 20 na bado anataka kuongoza iwe 25! Hiki ni kituko kwa zama hizi. Haya mambo yalikuwa common enzi za kina Nyerere lakini siyo sasa. Huyu akibahatika kuwa rais si atabadilisha katiba awe rais wa maisha? Na pia........ CHADEMA ni chama cha umma, bila wananchi na mashabiki, na wanachama wake hakitakuwepo. Wacha watu watoe maoni na Mbowe anatakiwa kupumzika.
Kuna watu wanadhani bila wafuasi watatumu. Wakaulize TLP na CUF vimepotelea wapi.
 
Mbowe hatapumzika uongozi kwa shinikizo la wasio wanachama. Kama Kuchokwa kana unavyodai maana yake hao wanachana wa CHADEMA unaodai wanemchoka watamuondoa kwa njia ya kura, lakini kana watamchagua tena maana yake hawajamchoka.

Kama kuna mgombea anaungwa mkono aingie ulingoni lakini Mbowe hatamuachia mtu kiti kama zawadi.
Tufanye hivyo na kwa Rais. Kama wananchi wanamchagua tena na tena basi aendelee!
 
Katika majibizano yao huko X zamani Twitter, Martin alimshauri Evarist Chahali arudi Tanzania kuendeleza harakati za kupambanna dhidi ya CCM na sio kubeza na kuwaita Chadema waoga.

Evarist Chahali nae akamjibu Martin, mbona yeye Martin hajarudi kitengoni TISS?

Watu wakaanza kuhoji, kwanini Martin huwa akamatwi tangu utawala wa awamu ya sita uingie madarakani? Raia wameamini kuwa Martin ni kama double agent.

Wacha wauane!
 
Back
Top Bottom