Chahali amtuhumu Martin Maranja Masese kuwa ni “mtu wa system”

Chahali amtuhumu Martin Maranja Masese kuwa ni “mtu wa system”

Unawaza na kuongea kwa ghadhabu, nini tatizo?

Wenye kuhoji uMseveni wa Mbowe kwenye Cdm, wana hoja na wanastahili majibu ya kisayansi kuwafulfill.

Kila jambo duniani huwa lina mkondo wake.

Kama chama na maudhui ya katiba yake ni demokrasia, basi wadau wana haki ya kuhoji kiongozi wao kusigina msingi wa katiba.

Hizo zako, diyo akili za kutekana na kuuana hizi, mtu anapohoji ama kusema ukweli wa jambo fulani, anavishwa hatia ama lawama, why?
Hapa umeongea pumba. Mbowe hajavunja katiba kugombea uenyekiti. Demokrasia sio kumpisha mtu uongozi bali ni kupigiwa kura na kushinda.

Nyinyi mnaotaka Mbowe amposhe Lissu ndio mnaopinga katiba.

CHADEMA kitaendelea kuwa chama pekee cha kweli cha upinzani Tanzania, kamwe hamtafanikiwa kukichuuza ili mkiue.
 
Vyama vyooote vya Nchi hii ni sare sare maua ila ukiondoe Chama cha Mzanaki peke yake ! Kwa wakati ule !

Kukaa sana madarakani sio tatizo kubwa bali tatizo kubwa unakaa pale kwa nia ipi ???!!!

Kwa nia ya kuwasaidia watu woooote wa Nchini mwako au ni kwa sababu zaidi ya watu wako tu ???!!!
Je ni Utajirisho na kula Bata tu ???!!!
Maswali ni mengi na mengi hayana majibu 😳🙄🙌 !
Mwanzo kabisa alipokuwa Rais kwa kurithi kiti tulikubaliana kuwa afanye jitihada ya kuiua CCM ki vyovyote vile tofauti na hapo baada ya utawala wake Zanzibar itapata tabu sana.
 
N
Mwanzo kabisa alipokuwa Rais kwa kurithi kiti tulikubaliana kuwa afanye jitihada ya kuiua CCM ki vyovyote vile tofauti na hapo baada ya utawala wake Zanzibar itapata tabu sana.
Nimeshindwa kukuelewa 😅
 
Mbowe hatapumzika uongozi kwa shinikizo la wasio wanachama. Kama Kuchokwa kama unavyodai maana yake hao wanachama wa CHADEMA unaodai wanemchoka watamuondoa kwa njia ya kura, lakini kama watamchagua tena maana yake hawajamchoka.

Kama kuna mgombea anaungwa mkono aingie ulingoni lakini Mbowe hatamuachia mtu kiti kama zawadi.
Ni mhimu mbowe aendelee maana ye ndo imili mikiki yote kutoka kwa wapinzani wake,na mwingine ni lissu lkn asubiri kidogo mwenzake amalize japo ten years.
 
Lisu angeenda tu chauma
Acha madharau

WaTz tuna safari ndefu ya kujikomboa
Mbowe ameongoza miaka mingi ni press conference tuuuuuuu hakuna ukombozi
Tutaishi hivi mpaka lini?

Wananchi wanaumizwa mpo humu kupiga tarumbeta.
 
Acha madharau

WaTz tuna safari ndefu ya kujikomboa
Mbowe ameongoza miaka mingi ni press conference tuuuuuuu hakuna ukombozi
Tutaishi hivi mpaka lini?

Wananchi wanaumizwa mpo humu kupiga tarumbeta.
Tolka kwenye key board typing uingie barabarani kama kweli unataka kujikomboa.
 
Acha madharau

WaTz tuna safari ndefu ya kujikomboa
Mbowe ameongoza miaka mingi ni press conference tuuuuuuu hakuna ukombozi
Tutaishi hivi mpaka lini?

Wananchi wanaumizwa mpo humu kupiga tarumbeta.
Wewe umefanya nini zaidi ya kutukana watu jamii forum?
 
Back
Top Bottom