Missile of the Nation
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 15,101
- 56,054
Kumbe unaambiwa? 🙄🙄
Huyo unayemsema yeye na Kagame ndo zilikuwa dili zao za kimya kimyaLeo ndiyo mmejua Magufuli alikuwa anafanya kwa ajili ya taifa? Nendeni mkatubu haraka sana
Ni kama bandarini na TANESCO, ndiyo machimbo makuu ya Mafisadi kuibia nchiKwanini kila siku watu wanalalamika tu kuhusu wizi wa madini?
Huyu kilaza alumtukana sana jpm kwenye ishu za kukataa madini kutoroshwa leo analia mpumbavu sana
Mama anaupiga mwingi.Kwanini kila siku watu wanalalamika tu kuhusu wizi wa madini?
Ni wakina nani hao wanaotorosha madini wanaonekana lakini vyombo vya usalama vipo kimya?
Au wahusika nao wanahusiana na vyombo vya usalama na maafisa serikalini?
Haiwezekani Rais, mawaziri, na watu binafsi wote wanalia, hili taifa linachekesha.
Kwani ufisadi ulienda wapi tuseme umerudi?
Wakati wa mwendazake angalau watu walifichama kidogo. Sahizi ni kama shamba la bibi. linaliwa na yeye kakaa hapohapoKwani ufisadi ulienda wapi tuseme umerudi?
Wewe ulitakaje?Wakati wa mwendazake angalau watu walifichama kidogo. Sahizi ni kama shamba la bibi. linaliwa na yeye kakaa hapohapo
Wananunua mihogo na na maembe wakati wanaiba, angalau wanaleta mzunguko wa pesa.Mi sijawahi ona faida ya haya madini kwa nchi yetu!!acha waibe tu!!
Uko sahihi kabisa kwa 100%.Mi sijawahi ona faida ya haya madini kwa nchi yetu!!acha waibe tu!!