Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kipindi cha Mwendazake madini yalitoroshwa sana ila si kwa uwazi kama sasa.Huyu kilaza alumtukana sana jpm kwenye ishu za kukataa madini kutoroshwa leo analia mpumbavu sana
USSR
Wanatafuta legitimacy ya kuendelea kupewa mkate wa bure ng'ambo kwa kisingizio cha nikirudi nyumbani nitafungwa kwa kuwa nilikuwa na mkosoa mkuu!Huyu kilaza alumtukana sana jpm kwenye ishu za kukataa madini kutoroshwa leo analia mpumbavu sana
USSR
Uzushi tu! Mkorofiiii!
Habari za namna hii hazisaidii chochote na wala hazina manufaa yoyote.
Leo ndiyo mmejua Magufuli alikuwa anafanya kwa ajili ya taifa? Nendeni mkatubu haraka sana
Hata yale maghorofa mawili ya NIC aliyonunua kwa laki6 kila moja kule dodoma alinunua kwa manufaa ya taifa???Leo ndiyo mmejua Magufuli alikuwa anafanya kwa ajili ya taifa? Nendeni mkatubu haraka sana
Bwana yule alikejeliwa na wachaga kisa ukabila sasa amekufa
Mbona bado mnalalama
Acha waibe hayo madini maana hawajaanza leo.bora lile dubwasha limeondoka basiTunashukuru Mungu kwa kutuondolea yule kiongozi muovu bila damu kumwagika.
wanini kila siku watu wanalalamika tu kuhusu wizi wa madini?
Ni wakina nani hao wanaotorosha madini wanaonekana lakini vyombo vya usalama vipo kimya?
Au wahusika nao wanahusiana na vyombo vya usalama na maafisa wa serikalini?
Haiwezekani Rais, mawaziri, na watu binafsi wote wanalia, hili taifa linachekesha.
Magufuli yeye alijaribu kororosha kwenda rwanda akakwama ndo maana sliwaachia wale askari waliohongwa mabilionLeo ndiyo mmejua Magufuli alikuwa anafanya kwa ajili ya taifa? Nendeni mkatubu haraka sana
Yaani mtu analeta taarifa ya kuambiwa na anaandika kama vile nchi haina Serikali ! Mambo ya mitaani sana haya!
Nilitaka hata wewe ufe mTunashukuru Mungu kwa kutuondolea yule kiongozi muovu bila damu kumwagika.