Jini Kisiranii
JF-Expert Member
- Feb 20, 2018
- 1,912
- 2,254
Chalali mseng@##$$%^&* sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hajui kua kilichowakosanisha Magu na Kagame ni madini ya Kongo yaliyokua yanaibwa na Kagame then zinaungana na za Tz kwa Magu alafu wanapiga mpunga?Huyo unayemsema yeye na Kagame ndo zilikuwa dili zao za kimya kimya
Thibitisha au unajikuna na kujichekesha mwenyew?Iko wazi sana. Wafanyabiashara wanatamba huku walalahoi wanahenya. hata huduma za afya kwenye taasisi za serikali zimeshuka kwa kasi sana.
Chawa wa Maushungi mna kazi kweli kubadilisha Kinyesi cha ng'ombe kuwa keki ya bezidei! Maza keshachoka kabla ya kuchoka.Jiwe ashamuonjesha Kagame raha ya utajiri wa nchi hii, Mtandao waliouasisi wa kupiga madini yetu hauwezi kuisha kirahisi. Hii ni syndicate yenye nguvu sana. Mama aonyeshe uzalendo kwa kufanya jambo huko. kwenye madini
Badala ya kulia Lia Kwa nini sukuma gang msilichukue si halina mwenyewe mnasubilia kupewa na nani sasa?Ni ushahidi kuwa shamba halina mwenyewe.
Na hivi hapa ni vistory vya kutunga? 😄😄..Chawa wa Maushungi mna kazi kweli kubadilisha Kinyesi cha ng'ombe kuwa keki ya bezidei! Maza keshachoka kabla ya kuchoka.
Mnaishia kuunda vistori stori vya kijinga kumchafua marehemu! Poleni. Mara ooh Kagame Ooh sijui nani!
Pathetic
Pesa zetu... Means tunakopa tunalipa!!Na hivi hapa ni vistory vya kutunga? [emoji1][emoji1]..
Tunajenga kwa pesa zetu [emoji116]
View attachment 2037564
Mngekuwa mbalipa Nchi ingerudi kwenye kundi alikoitoa MKapa? PumbavuPesa zetu... Means tunakopa tunalipa!!
Mchengerwa hawezi kuondolewa kwa kisingizio cha kijinga.Gaidi lazima ashughulikiweMajaliwa, Mchengerwa na Dotto hawatoshi wanapaswa kuondolewa ofisini
You can’t be seriousHuyo mpumbavu aache kulia!
Aache watu wafaidi maana walionewa sana kwa miaka 5
Unauliza tena maswali,weka vielelezo.Kiturilo huyo Magufuli wako ndiyo alikuwa mwizi aliyekubuhu ila alitumia ujinga wenu kwa kuwa mlikuwa mnaamini kila awaambiacho.
Je unajuwa kwa nini Paul Kagame hakuja kwenye msiba na mazishi yake?
Je unajuwa kwa nini aliingia gereza la Butimba na kuamuru wale watorosha dhahabu walioshikwa na Polisi waachiwe?
Je unajuwa kuwa Mbunge Alexnder Mnyeti ni mpwa wake? Na kwamba Mnyeti ana ukwasi wa kutisha uliotokana na madini aliyoiba akiwa RC Manyara?
Alikuibia nini mtu masikini na fukara kama wewe?Magufuli alikuwa mwizi na shetani mkubwa,akichofanya ni kuhakikisha hakuna mtu anayejua habari za wizi wake!
Sent from my TECNO-N8 using JamiiForums mobile app
Kama wale aliowapiga chini juzi pale bandarini ee?Huyo ndio aliweka watu wake kule wanashindana kuiba, Sasa mama anaenda kuwapiga chini wote then mje humu sukuma gang muanze kulialia!
Ilikuwa ngumu kutangaza sasa ulijuaje?Anayefanya kwa maslahi vya taifa hutengeneza mifumo. Enzi za Magufuli wizi ulikuwepo lakini ilikuwa ngumu kutangaza.