Crimea
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 25,874
- 36,030
Kwanini mungu wako asiiondoe ccm bila kumwaga damu?Tunashukuru Mungu kwa kutuondolea yule kiongozi muovu bila damu kumwagika.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwanini mungu wako asiiondoe ccm bila kumwaga damu?Tunashukuru Mungu kwa kutuondolea yule kiongozi muovu bila damu kumwagika.
Madini gani hayo chahali afafanue,mana hata mchanga wa kutengenezea cement na makaa ya mawe zinaenda rwanda kila siku
Si amejibu kuwa ao wanaolalamika wizi umerudi kumbe wao ndio wa ovyo! madudu yalifanyika uko! Ila kwa ninavyomjua Chahali si SukumaGang mbona katumia neno "Wizi umerudi?" Akili wazi kuwa kipindi cha JPM alijitahidi sana kulinda rasimali zetu?
Huyu huyu ambaye alikuwa mwiba kwenye ubavu wa viongozi wetu wakati wakipigana kufa na kupona anatujuza bila hata soni! Will I be wrong if I call that enemy of the state...Mi nakusii mundelee kubeba mabox yenu huko mliko mtuache na amani yetu, hamna jema lolote wa jinsi yenu! Hivi nikisema I hate you to the bottom of my heart you guys, Mungu hatanisamehe dhambi hii?Leo ndiyo mmejua Magufuli alikuwa anafanya kwa ajili ya taifa? Nendeni mkatubu haraka sana
Zimechimbiwa shambani kule Chato?!Si ndiyo alipiga 1.5 tr au siyo yeye?
Yeye mwenyewe alikuwa anaibiwa wakati alijaza walinzi wa jwtz pale. Ilisemwa kuwa kuna waty waliiba wakipitisha chini ya ardhi? Under ccm hakuna jambo jema watanzania wategemeeLeo ndiyo mmejua Magufuli alikuwa anafanya kwa ajili ya taifa? Nendeni mkatubu haraka sana
Nakubaliana na wewe Jiwe alikuwa jambazi. Na hakupenda taarifa za Tanzanite mine zijulikane alitia ulinzi mkali sio kqa kuzuia wizi bali kqa kuficha asijulikane kinachofanyika.Kiturilo huyo Magufuli wako ndiyo alikuwa mwizi aliyekubuhu ila alitumia ujinga wenu kwa kuwa mlikuwa mnaamini kila awaambiacho.
Je unajuwa kwa nini Paul Kagame hakuja kwenye msiba na mazishi yake?
Je unajuwa kwa nini aliingia gereza la Butimba na kuamuru wale watorosha dhahabu walioshikwa na Polisi waachiwe?
Je unajuwa kuwa Mbunge Alexnder Mnyeti ni mpwa wake? Na kwamba Mnyeti ana ukwasi wa kutisha uliotokana na madini aliyoiba akiwa RC Manyara?
Hata Mohamed Mchengerwa juzi kasema kuna wizi huko migodini. Akaaishia kuagiza Takukuru.Huyu ametumika kumlenga waziri wa Madini. Naye Waziri yupo kimya kama hakuna kinachoendelea!
Kama Pk anahusika basi tumekwisha. He is untouchable linapokuja swala la LootingJiwe ashamuonjesha Kagame raha ya utajiri wa nchi hii, Mtandao waliouasisi wa kupiga madini yetu hauwezi kuisha kirahisi. Hii ni syndicate yenye nguvu sana. Mama aonyeshe uzalendo kwa kufanya jambo huko. kwenye madini
Ilishaangaza sana kwamba madini yaliendelea kuibqa kipindi ambacho ukuta wa ulinzi ulijengwa kwa pesa nyingi. Jiwe alikuwa Profession Thief.Magufuli alikuwa fisadi was kutisha. Hakuwahi kupambana na ufisadi hata ule was wazi wazi ndani ya CCM au serikalini.
Alichofanya Magufuli alipunguza idadi ya wezi,walaji wakawa wachache yaani yeye na watu wake.Alizibana halmashauri mpaka punzi ya mwisho ili kujenga uaminifu kwa raia lkn ktk sekta kubwa km madini,nishati,barabara na usafirishaji aliweka watu wake wa karibu na wizi ulikuwa mkubwa sana.(Grand Corruption)
Madini hayajaanza kutoroshwa leo wala jana,yalitoroshwa hata baada ya ukuta wa mererani kujengwa.
Magufuli hakuwa mwema km watu wanavyotaka watu waamini.Samia amekutae madini yakitoroshwa na ataondoka ataacha yakitoroshwa.
Sahihi. Hata urafiki wake na Pk ulikuwa ni wa kumnufaisha yeye kisiasa na wala sio maslahi ya taifa.Hakuwa na uchungu na nchi huyo,Hawa wanaotorosha madini yeye ndio aliowaweka hapo tena kwa nguvu ya silaha na damu za watu
Jiwe mwizi yule. Hao wanaoina waliiba akiwepo na aliwaweka yeye kqa jasho ma damu.Huyu kilaza alumtukana sana jpm kwenye ishu za kukataa madini kutoroshwa leo analia mpumbavu sana
USSR
Hangaya nchi imemshinda,amebaki kulegeza macho tu!
Kalegezewa Tony Blair na keshafunga safari mara mbili. Ngoja dawa iwaingie. Ujinga ni mzigo.Hangaya nchi imemshinda,amebaki kulegeza macho tu!
Wewe acha kusumbua mama , mama yetu mwache aendelee kujaza vyoo mjengoni ,mama upige meingiNi kama bandarini na TANESCO, ndiyo machimbo makuu ya Mafisadi kuibia nchi
Ni kawaida kwa mal*ya kuwaita wengine kuwa wao ni mal*yaMagufuli alikuwa mwizi na shetani mkubwa,akichofanya ni kuhakikisha hakuna mtu anayejua habari za wizi wake!
Sent from my TECNO-N8 using JamiiForums mobile app