Nyankurungu2020
JF-Expert Member
- Oct 2, 2020
- 4,170
- 6,757
Umepanick? Tulia likuingie vizuri.Hebu tulia we mama majaliwa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umepanick? Tulia likuingie vizuri.Hebu tulia we mama majaliwa.
Wenye akili wameelewa, kama unadhani ni maswali wewe huna akili. Nenda JUKWAA la celebrities au tik talkUnauliza tena maswali,weka vielelezo.
Muigai Jr njoo usome hapa update majibu ya maswali ambayo hukuelewa kwenye post yangu. Pythagoras uko deep sanaNakubaliana na wewe Jiwe alikuwa jambazi. Na hakupenda taarifa za Tanzanite mine zijulikane alitia ulinzi mkali sio kqa kuzuia wizi bali kqa kuficha asijulikane kinachofanyika.
Inasemekana huko Butimba alienda kuachia Looters and Smugglers counterparted to The Tall Man in EA
na uchaga wenu hamji kuongoza nchi ng'o hatuongozwi na waleviUtasubiri sana.
Hii ni hate writting yaani umesema mambo mengi nusunusu ni kama vile mtu aliyetenguliwa channel yake ya ulaji halafu hata baada ya Magu kuondoka bado channel haijarudi...Kiturilo huyo Magufuli wako ndiyo alikuwa mwizi aliyekubuhu ila alitumia ujinga wenu kwa kuwa mlikuwa mnaamini kila awaambiacho.
Je unajuwa kwa nini Paul Kagame hakuja kwenye msiba na mazishi yake?
Je unajuwa kwa nini aliingia gereza la Butimba na kuamuru wale watorosha dhahabu walioshikwa na Polisi waachiwe?
Je unajuwa kuwa Mbunge Alexnder Mnyeti ni mpwa wake? Na kwamba Mnyeti ana ukwasi wa kutisha uliotokana na madini aliyoiba akiwa RC Manyara?
Sasa nn kisichoeleweka hapo, eti anamaanisha nn, au unazuga huelewi, Ana maana utawala huu mpya unaopendwa mitandaoni, umelegea, ufisadi umeanza kurudi.anamaanisha nini anaposema ufisadi umerudi kwa kasi ya kisurisuri... kuna mahala nashindwa kuwaelewa Watanzania tunataka nini sasa...
mmeshiba ~~ ndiooo.
mna njaa ~~ ndiooo.
Ndio mnavyoji console eh, mtamkumbuka tuWananunua mihogo na na maembe wakati wanaiba, angalau wanaleta mzunguko wa pesa.
Mtapambana sana, with time, kila goti litapigwa na mtamkumbuka kwa mazuri, sababu hamna evidence ya uwizi wala ushetani wake, na huenda ukawa ww ni lishetani zaidi ya shetani mwenyewe.Magufuli alikuwa mwizi na shetani mkubwa,akichofanya ni kuhakikisha hakuna mtu anayejua habari za wizi wake!
Sent from my TECNO-N8 using JamiiForums mobile app
Leta evidences mzee, hii maneno tupu bila evidence utadanganya mambwiga, evidences za ubaradhuli awamu hii zinazidi kuonekana na watu hadi waliompinga wanaanza kureport.Kiturilo huyo Magufuli wako ndiyo alikuwa mwizi aliyekubuhu ila alitumia ujinga wenu kwa kuwa mlikuwa mnaamini kila awaambiacho.
Je unajuwa kwa nini Paul Kagame hakuja kwenye msiba na mazishi yake?
Je unajuwa kwa nini aliingia gereza la Butimba na kuamuru wale watorosha dhahabu walioshikwa na Polisi waachiwe?
Je unajuwa kuwa Mbunge Alexnder Mnyeti ni mpwa wake? Na kwamba Mnyeti ana ukwasi wa kutisha uliotokana na madini aliyoiba akiwa RC Manyara?
Urongo mtupu, evidences?Jiwe alikuwa anatorosha yeye mwenyewe, jaribu kupinga au kukosoa uone kitakacho kupata
Una any tangible evidence ya kuprove unacho kiongea au ndio umeliokota mitandaoni ukalibeba kama lilivyo.Si ndiyo alipiga 1.5 tr au siyo yeye?
Pinga tu kama nia yako ni kupiga na siyo kujua ukweli.Urongo mtupu, evidences?
Haya wewe una evidence yoyote hata siyo tangible ya kujua 1.5tr zilipoenda?Una any tangible evidence ya kuprove unacho kiongea au ndio umeliokota mitandaoni ukalibeba kama lilivyo.
Kwangu kitu hiko hakipo na hakijawahi tokea,ww unayesema 1.5tl imeibiwa tupe ushahidi.Haya wewe una evidence yoyote hata siyo tangible ya kujua 1.5tr zilipoenda?
So hujui Assad baada ya kuliibua hilo alifanyiwa hila na kutolewa. Bwana yule alikuwa hapendi kuambiwa ukweli japo kila siku anajigamba eti "lazima tuelezane ukweli". Sasa wewe mwambie ukweli uone rungu litakavyo kushukiaKwangu kitu hiko hakipo na hakijawahi tokea,ww unayesema 1.5tl imeibiwa tupe ushahidi.
Pesa za wizi hasa zinazotokana na madini huwa hawaziweki kwenye benki zetu za ndaniWananunua mihogo na na maembe wakati wanaiba, angalau wanaleta mzunguko wa pesa.
Mimi si wa kujambishwa na ww sukuma gang.Umepanick? Tulia likuingie vizuri.
Kama pesa zinarudi mtaani shida ipo wapi.