Kuna watu na viatu duniani...Kweli Tanzanite iwe 100% kutoka Tanzania alafu waseme alikuwa anaiba si unaona tu ni viatu vinaongea?Wakaiba halafu kwenye takwimu za dunia wazungu wakaonyesha jinsi madini yetu yalivyopanda au sio?
So wote waendelee kuiba?
Sent using Jamii Forums mobile app