Mwanamageuko
JF-Expert Member
- Oct 31, 2010
- 8,604
- 5,583
Sishabikiagi ujinga! Wala sifuati mkumbo!Dah na wewe kumbe uko ivi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sishabikiagi ujinga! Wala sifuati mkumbo!Dah na wewe kumbe uko ivi
Yupo busy na korongoWakati wa mwendazake angalau watu walifichama kidogo. Sahizi ni kama shamba la bibi. linaliwa na yeye kakaa hapohapo
Marehemu alikuwa hataki watu waseme huru karuhusu uwazi kidogoKwani ufisadi uliisha lini?
MAYANGA Co. Oyeeeeeeee.
Halafu anavyolalamika utadhani wamemwibia babaake wa kambo!!Huyo Chahali aache wivu na umbeya.
Kwani Samia hajui kuwa madini yanatoroshwa?
Kwani wanaotorosha madini hawajuani na Samia?
Kama serikali ni zao la wizi, bunge ni zao la wizi, mahakama ni kichaka cha wezi na polisi ndio wezi wenyewe, nini cha ajabu kama watu hao hao wataiba rasimali za taifa chini ya mwamvuli wa CCM?
Bwashee hakuna cha wizi wala utoroshwaji madini kuna watu walihodhi hiyo biashara sasa imewekwa huru lazima watoe vilioHivi vyombo vya ulinzi na usalama kazi yake nini haswa? kwanini watu wanaiba waziwazi hivi?
Akiwa na kenyatta anakua kama katupiwa upupu. Kwenye declaration ya mkutano na kenyatta chochote hatujaona kuhusu biashara ya madini kati ya nchi hizi mbili. Kinachoendelea ni biashara ya magendo ambapo tanzania inapoteza mabilioni kwa kutoroshwa madini ya tanzanite na mengine ya vito kenya.Dear Mama @SuluhuSamia naambiwa watu wanatorosha madini kama "hakuna kesho." Na wala hakuna usiri kwenye wizi huo. Mamlaka husika zinafahamu kinachoendelea lakini ndo hivyo, sekta ya madini imegeuzwa #ShambaLaBibi. Unfortunately, ufisadi umerudi kwa kasi ya upepo wa kisulisuli
Lakini maza alisema anataka kuruhusu mzunguko kidogo, nadhani watu wakiimba hivi kidogo na sisi huku watu wachini tunapata kidogoBwashee hakuna cha wizi wala utoroshwaji madini kuna watu walihodhi hiyo biashara sasa imewekwa huru lazima watoe vilio
Ni lini ufisadi ulipata kuisha au kupungua nchi hii Mkuu?Sasa nn kisichoeleweka hapo, eti anamaanisha nn, au unazuga huelewi, Ana maana utawala huu mpya unaopendwa mitandaoni, umelegea, ufisadi umeanza kurudi.
Aya umeelewa?
Embu kakojoe huko!Ilishaangaza sana kwamba madini yaliendelea kuibqa kipindi ambacho ukuta wa ulinzi ulijengwa kwa pesa nyingi. Jiwe alikuwa Profession Thief.
Nimekuelewa mkuu! Wengi walimsemanga JPM sababu ya maslah yao binafsi tu sio sababu za kitaifa.Kuna kitu asilimia kubwa ya wanaharakati wa siasa wanashindwa kuelewa:
Magufuli, JK, Mama Samia, Mzee Mwinyi, Mkapa na Nyerere ni watu.
Wote wana mazuri na mapungufu yao, sasa wao unakuta wana emotional attachments na mtu, badala ya kuangalia actions.
Ufanyi siasa sababu ya mtu na ujiungi kwenye chama cha siasa sababu ya mtu; people are mortal, whereby political parties in a sense could be immortal.
So in politics you stand with values you believe na katika wanasiasa wa Tanzania waliowahi simamia values ni wawili tu Nyerere na Magufuli.
Hapo ndio kuna shida unakuta baadhi ya watu wanashindwa kuelewa asilimia ya kwamba waliokuwa wanampenda Magufuli ni values anazo simamia sio yeye mwenyewe.
Watu wanao invest emotional attachment either kwa kumpenda au chuki kwa kiongozi ndio unakuta wana flip flop; mfano Chahali.
Miaka yote amekuwa akitukana serikali ya Magufuli halafu leo analia ubadhirifu umerudi kwa kasi; inaonesha chuki zake kwa mtu sio kwa sababu wanapishana kwenye value anazosimamia bali ni personal vendettas.
Uwezi kumchukia au kumpenda mtu usiomjua at personal level (if you do it’s a mental health issue); bali unapenda au unachukia actions zake kutokana values unazoamini wewe and that is what politics is about.
Tunatabia ya kuwakuza watu uchwara kama huyu Chahali, Maria Sarungi, Fatma Karume, Kigogo and other nonsense from twitter ambao siasa zenyewe awazijui even by definition let alone the spectrum of values from far right to far left and in betweeners. Ukiwasoma ujinga mtupu.
If you were to ask many people what values did Magufuli represent not many in this forum can deduce based on his actions he was a central right politician (in other words a conservative politician), rather than a left.
Ni kweli 100% mkuu, acha watu wapige pesa angalau tutaambulia hata K-vant inatoshaItasikitisha sana endapo hizi taarifa zitakua na ukweli...
Leo ndiyo mmejua Magufuli alikuwa anafanya kwa ajili ya taifa? Nendeni mkatubu haraka sana
Naona umeuliza na kuweka baadhi ya Wahusika wa kutorosha..!!Ni wakina nani hao wanaotorosha madini wanaonekana lakini vyombo vya usalama vipo kimya?
Ni lini ufisadi ulipata kuisha au kupungua nchi hii Mkuu?Sasa nn kisichoeleweka hapo, eti anamaanisha nn, au unazuga huelewi, Ana maana utawala huu mpya unaopendwa mitandaoni, umelegea, ufisadi umeanza kurudi.
Aya umeelewa?
mkuu Chukua Chako angali MapemaLakini maza alisema anataka kuruhusu mzunguko kidogo, nadhani watu wakiimba hivi kidogo na sisi huku watu wachini tunapata kidogo
Kama hujui kitu kaa kimya sio kupotosha watu.
CHAHALI USIPOTOSHE, DKT. KIPILIMBA HAJAWAHI KUWA CHAGUO LA MEMBE KWA JPM
Nimesoma tweet ya aliyekuwa Ofisa wa TISS kuhusu anazoita njama za kumhujumu JPM zinazoratibiwa na Membe kwa ushirikiano mkubwa kutoka kwa DGIS Dkt. Kipilimba.
Chahali anatupasha habari kwamba ni Membe aliyempeleka Dkt. Kipilimba kwa JPM ili amteue kuwa DGIS. Hili jambo si la kweli. Chahali aache kupotosha watu.
Na hii ndio sababu iliyopelekea niandike:
Kwanza nianze kuuzungumzia uhusiano wa Dk. Kipilimba na Membe. Hawa ni marafiki wa karibu waliokutana UDSM wakati huo wote wakiwa wanafunzi. Dk. Kipilimba alikuwa "raia" wakati Membe alikuwa "kachero" asiyejulikana miongoni mwa wenzake akiwemo pia Dk. Kipilimba.
Ukaribu wao ulizidi kuimarika na hata baada ya kuhitimu masomo yao ni Membe ndiye aliyeratibu na kusimamia vetting ya Dk. Kipilimba ili ajiunge na TISS. Na wakati huo idara hii ilijulikana kama OFISI YA RAIS.
Baada ya Dk. Kipilimba kukidhi vigezo aliajiriwa na kupangiwa majukumu kama msaidizi wa Membe kwenye sekretarieti ya TISS ambayo kimsingi ndio uti wa mgongo wa TISS ambayo kwa wakati huo yeye Membe ndio alikuwa akiiongoza.
Na hapo ndipo Membe alipoanza kumjenga kitaaluma Dk. Kipilimba ndani ya TISS na kupelekea kuwa tishio kwa baadhi ya viongozi wa TISS ambao walikuwa na fununu za uhakika kuwa baada ya kustaafu kwa marehemu Gen. Kombe chaguo la Rais kwa wakati ule lilikuwa ni Membe.
Kwanini alitarajiwa Membe?
Ni kwasababu ya utendaji wake ndani ya Idara uliotukuka. Baada ya kupata ufadhili wa kwenda kusoma masters nchini Marekani kwenye moja ya vyuo bora duniani (John Hopkins University) Membe alimwachia kijiti cha kuongoza sekretarieti ya TISS Dk. Kipilimba. Ambapo napo Kipilimba hakudumu sana na baadaye huyuhuyu Membe ndiye akamsaidia kupata ufadhili wa masomo ya masters nchini UK.
Wote wawili kwa nyakati tofauti baada ya kuhitimu masomo yao walipangiwa kazi nyingine lakini wakiiwakilisha TISS. Membe alipelekwa nchini Canada kwenye ubalozi wa Tanzania ambapo yeye Dk. Kipilimba alirejeshwa makao makuu ya TISS kabla ya kupelekwa BOT.
Historia muhimu ambayo watu hawa wanayo na inafanana ni kwamba baada ya kumaliza masomo yao ya masters walibahatika kupokea "ofa" za kuwa wahadhiri wa vyuo vikuu walivyosoma. Na hii ni kwasababu ya ufaulu wao. Lakini kwa taratibu na miongozo ya TISS, iliwapasa warejee kazini kuendelea na majukumu yao. Nao walitii.
Mwaka 2000 Membe alipokea barua kutoka Ikulu ikimjulisha ajiandae kuteuliwa kuwa Balozi. Membe aliandika barua kwa Rais Mkapa (mstaafu) akimjulisha kuwa ana nia ya kugombea ubunge wa jimbo la Mtama. Na hapa ndipo safari ya kisiasa kwa Membe ilipoanzia na yeye na Dk. Kipilimba ndipo walipoachana kwa maana kila mmoja aliendelea kufanya kile anachoamini kwake kinafaa kwa wakati wote.
Kwanini Membe pamoja na kuwa karibu na Dk. Kipilimba lakini hajawahi kumpendekeza kwa JPM kuwa DGIS?
Jibu ni rahisi mno, Membe hajawahi kuwa na ukaribu na JPM hadi kufikia hatua ya kumpenyezea majina ili ateue mtu/watu. Uhusiano wa kawaida wa Membe na JPM ni wa kikazi tu wakiwa wajumbe wa Baraza la Mawaziri wakati wa uongozi wa Dk. Jakaya Kikwete.
Dk. Kipilimba anaongoza TISS lakini kamwe hajawahi kuwa karibu tena kikazi na Membe kwasababu ya njia ambazo kila mmoja anapitia. Huyu anapitia siasani yule anapitia utendaji kazi. Na kwa akili ya kawaida tu hakuna mpango dhalimu unaoweza pangwa pangwa na Membe au Dk. Kipilimba ukaacha kujulikana. Na kwa nimjuavyo JPM, asingevumilia hujuma dhidi yake kwasababu ana vyombo vya kumpa taarifa. Na katika hivyo vyombo wapo pia wanaosimamia tasks za kumchunguza Dk. Kipilimba pia. Chahali rejea mafunzo yako kuhusu uzandiki!
Jambo pekee alilofanya Membe ni kumpongeza Dk. Kipilimba siku aliyoteuliwa kuongoza TISS.
Chahali acha kumzidishia hofu JPM!
Ankol unapoambiwa kuiba madini unatakiwa uelewe sio kitu rahisi kama watu wanavyoandika hapa.Mathalan utoroshaji wa dhahabu means umepata dhahabu either kwa kuichenjua kupitia local methods kama amalgamation au kuozesha (leaching) then elution alafu hauipeleki kwenye masoko yalioainishwa kiserikali matokeo yake halmashauri husika kukosa mrabaha (7%) ...sasa ndugu hiko kiti hasa dhahabu ya elution sio rahis kuitorosha otherwise uchezeshe sana...Moja ya sekta serikali ikisimama imara nchi hii itanufaika sana ni sekta ya madiniNipeni connection niwe mwizi wa madin tu ... life tight mtaani wahuni wanapiga dili tu mwanzo mwisho....
Watoto wa maskini sijui tutatoboa lini majamaa yako bize kutengeneza maisha ya vizazi vyao vijavyo tu hayana muda kuibua watu wa huku chini
Jamani Magufuli Alikuwa mtu makin Sana labda Kama angerithiwa na mtu mwenye mrengo wa ujamaa Kama POLEPOLE au BASHIRU ALI mtu yeyote Kama mama hawezi fanya Lolote Tena alikose mno kusema nchi anaiongoza kwa upole na kubembelezana Yaani Watanzania uwambie ' Jaman msiibe kuiba vibaya' hiii kweli Kila siku tunasema Biteko Hafai hamtuelewi, Biteko Yuko Bukombe mm nipo Mbogwe Hapa, madini yameingiliwa na matajiri haya asiogope kumtoa hyu Biteko mpuuziDear Mama @SuluhuSamia naambiwa watu wanatorosha madini kama "hakuna kesho." Na wala hakuna usiri kwenye wizi huo. Mamlaka husika zinafahamu kinachoendelea lakini ndo hivyo, sekta ya madini imegeuzwa #ShambaLaBibi. Unfortunately, ufisadi umerudi kwa kasi ya upepo wa kisulisuli
So chief ukifanikiwq kuchezesha mchongo ukatiki ndo inakua umetusua hivo sio...Ankol unapoambiwa kuiba madini unatakiwa uelewe sio kitu rahisi kama watu wanavyoandika hapa.Mathalan utoroshaji wa dhahabu means umepata dhahabu either kwa kuichenjua kupitia local methods kama amalgamation au kuozesha (leaching) then elution alafu hauipeleki kwenye masoko yalioainishwa kiserikali matokeo yake halmashauri husika kukosa mrabaha (7%) ...sasa ndugu hiko kiti hasa dhahabu ya elution sio rahis kuitorosha otherwise uchezeshe sana...Moja ya sekta serikali ikisimama imara nchi hii itanufaika sana ni sekta ya madini