Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 63,730
- 111,542
Nani ana moto wa kuongoza shithole country?
hagNa wenu hamji kuongoza nchi ng'o hatuongozwi na walevi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hagNa wenu hamji kuongoza nchi ng'o hatuongozwi na walevi
Wakiiba watazirejesha nchini kama misaada.Mi sijawahi ona faida ya haya madini kwa nchi yetu!!acha waibe tu!!
Wenye akili kubwa tu ndiyo wameelewa, nyie wa la 7 piteni kasi hiyo haikuwalenga nyinyiHii ni hate writting yaani umesema mambo mengi nusunusu ni kama vile mtu aliyetenguliwa channel yake ya ulaji halafu hata baada ya Magu kuondoka bado channel haijarudi...
Hakuwahi kugusa TANROAD kule wanamjua nje ndani .Magufuli alikuwa mwizi na shetani mkubwa,akichofanya ni kuhakikisha hakuna mtu anayejua habari za wizi wake!
Sent from my TECNO-N8 using JamiiForums mobile app
Ndicho ulichobakisha.Mimi si wa kujambishwa na ww sukuma gang.
Kidogo kidogo akili inatukaa sawaLeo ndiyo mmejua Magufuli alikuwa anafanya kwa ajili ya taifa? Nendeni mkatubu haraka sana
aliko yeye hatuwezi kufika kumuomba mkuu, ni kubaya sana sana japo kwa sekunda 2Leo ndiyo mmejua Magufuli alikuwa anafanya kwa ajili ya taifa? Nendeni mkatubu haraka sana
Wanaofanya haya ni ccm weneyewe, ukoo wa panya upo kaziniKama serikali ni zao la wizi, bunge ni zao la wizi, mahakama ni kichaka cha wezi na polisi ndio wezi wenyewe, nini cha ajabu kama watu hao hao wataiba rasimali za taifa chini ya mwamvuli wa CCM?
Sehemu gani kwenye hiyo ripoti ya Assad imeonyesha kuna upotevu wa 1.5tl,unaweza ukakopi hata paragraph huku ukirefer page no nasi tuone.So hujui Assad baada ya kuliibua hilo alifanyiwa hila na kutolewa. Bwana yule alikuwa hapendi kuambiwa ukweli japo kila siku anajigamba eti "lazima tuelezane ukweli". Sasa wewe mwambie ukweli uone rungu litakavyo kushukia
Wakati Assad anasema hayo alisema ni page number ngapi? Kama hiyo report ilishafika mikononi mwa yule asiyependa ukweli (Jiwe) bado unaweza kulikuta hilo swala? Hapa nazungumzia uhalali wa hiyo report baada ya kutua mikononi mwa JiweSehemu gani kwenye hiyo ripoti ya Assad imeonyesha kuna upotevu wa 1.5tl,unaweza ukakopi hata paragraph huku ukirefer page no nasi tuone.
Nikukumbushe tu, CAG alisema kuna upotevu wa 1.5tr,Jiwe akamsimamisha mbele ya hadhira na kumuuliza kuwa "Nasikia kuna wizi wa 1.5tr?" CAG akasema hapana mheshimiwa. Jiwe alikuwa mwizi na muongo sana, Assad alisema kuna upotevu ila yeye akamuuliza kama kuna wizi, siyo kazi ya CAG kusema kuna wizi au la, ila ni kazi ya Bunge kufatilia then PCCB. Hapo natumai utakuwa umekumbuka sasa otherwise utakuwa ndiyo wale wanajiita wanyonge.Sehemu gani kwenye hiyo ripoti ya Assad imeonyesha kuna upotevu wa 1.5tl,unaweza ukakopi hata paragraph huku ukirefer page no nasi tuone.
Assad alisema wapi kuna upotevu wa 1.5tr,kama kuna clip au kwenye report iweke hapa.Wakati Assad anasema hayo alisema ni page number ngapi? Kama hiyo report ilishafika mikononi mwa yule asiyependa ukweli (Jiwe) bado unaweza kulikuta hilo swala? Hapa nazungumzia uhalali wa hiyo report baada ya kutua mikononi mwa Jiwe
"Mbele ya hadhira " ,naomba unipatie hiyo clip ya hiyo hadhira siku ambayo Jiwe akimuuliza Assad.Nikukumbushe tu, CAG alisema kuna upotevu wa 1.5tr,Jiwe akamsimamisha mbele ya hadhira na kumuuliza kuwa "Nasikia kuna wizi wa 1.5tr?" CAG akasema hapana mheshimiwa. Jiwe alikuwa mwizi na muongo sana, Assad alisema kuna upotevu ila yeye akamuuliza kama kuna wizi, siyo kazi ya CAG kusema kuna wizi au la, ila ni kazi ya Bunge kufatilia then PCCB. Hapo natumai utakuwa umekumbuka sasa otherwise utakuwa ndiyo wale wanajiita wanyonge.
Ndicho ulichobakisha.
Kwa hiyo kumbe ccm ni safi kuliko dhalimu wako?Ameanza na mchafu zaidi.
Kwa hiyo kumbe ccm ni safi kuliko dhalimu wako?
Sasa mbona mungu wako hajakuondolea hizo chafu zote bila kumwaga damu?Chafu na chafu zaidi zote ni chafu.