Chahali: Madini yanatoroshwa kwa kasi ya kutisha

Chahali: Madini yanatoroshwa kwa kasi ya kutisha

naona kama jasusi kapotea maboya vile... yaani kaingia au kaingizwa chaka! Hatuna hata kiwanda kimoja cha kuchenjua madini korofi kama vile titanium achilia mbali chuma na shaba. Hayo ma ore yalizuiwa kusafirishwa na mwendazake hata wachimbaji wadogo na wakubwa wakafilisika kabisa huku bei ya madini hayo ikianguka kama ilivyokuwa mbaazi. Januari JPM mwenyewe akaruhusu waliokuwa na mizigo wauze au wasafirishe nje ili wajenge uwezo wa kumiliki smelter zao lakini walipie kodi zote husika na mrabaha. Hayo yalianza kufanyika baada ya ruhusa ile lakini wengi bado wamekwama soko na wanunuzi wengi wanaogopa kuwekeza au kununua madini yetu (namaanisha ya viwandani). Sasa unajiuliza hii biashara iliyo wazi inatoroshwaje?
Jasusi namheshimu sana kwa habari nyeti za kijasusi ila hii katulisha tangopori!! Kuna copper huko kusini ilishachimbwa kitambo watu wanalia soko wameduwaa na vifusi vyao au hao watoroshaji hawapajui huko???
 
naona kama jasusi kapotea maboya vile... yaani kaingia au kaingizwa chaka! Hatuna hata kiwanda kimoja cha kuchenjua madini korofi kama vile titanium achilia mbali chuma na shaba. Hayo ma ore yalizuiwa kusafirishwa na mwendazake hata wachimbaji wadogo na wakubwa wakafilisika kabisa huku bei ya madini hayo ikianguka kama ilivyokuwa mbaazi. Januari JPM mwenyewe akaruhusu waliokuwa na mizigo wauze au wasafirishe nje ili wajenge uwezo wa kumiliki smelter zao lakini walipie kodi zote husika na mrabaha. Hayo yalianza kufanyika baada ya ruhusa ile lakini wengi bado wamekwama soko na wanunuzi wengi wanaogopa kuwekeza au kununua madini yetu (namaanisha ya viwandani). Sasa unajiuliza hii biashara iliyo wazi inatoroshwaje?
Jasusi namheshimu sana kwa habari nyeti za kijasusi ila hii katulisha tangopori!! Kuna copper huko kusini ilishachimbwa kitambo watu wanalia soko wameduwaa na vifusi vyao au hao watoroshaji hawapajui huko???
Kwani mwendzake alipojenga ukuta kule mererani aliujenga kwa sababu zipi?
 
Huyu Chahali ndiye mtu wa kwanza kutangaza kifo cha bulldozeri
 
Kama serikali ni zao la wizi, bunge ni zao la wizi, mahakama ni kichaka cha wezi na polisi ndio wezi wenyewe, nini cha ajabu kama watu hao hao wataiba rasimali za taifa chini ya mwamvuli wa CCM?
!
 
Huyo Chahali aache wivu na umbeya.
Kwani Samia hajui kuwa madini yanatoroshwa?
Kwani wanaotorosha madini hawajuani na Samia?

Kama serikali ni zao la wizi, bunge ni zao la wizi, mahakama ni kichaka cha wezi na polisi ndio wezi wenyewe, nini cha ajabu kama watu hao hao wataiba rasimali za taifa chini ya mwamvuli wa CCM?
Kama mnamuita Mbowe tajiri- sawa
 
naona kama jasusi kapotea maboya vile... yaani kaingia au kaingizwa chaka! Hatuna hata kiwanda kimoja cha kuchenjua madini korofi kama vile titanium achilia mbali chuma na shaba. Hayo ma ore yalizuiwa kusafirishwa na mwendazake hata wachimbaji wadogo na wakubwa wakafilisika kabisa huku bei ya madini hayo ikianguka kama ilivyokuwa mbaazi. Januari JPM mwenyewe akaruhusu waliokuwa na mizigo wauze au wasafirishe nje ili wajenge uwezo wa kumiliki smelter zao lakini walipie kodi zote husika na mrabaha. Hayo yalianza kufanyika baada ya ruhusa ile lakini wengi bado wamekwama soko na wanunuzi wengi wanaogopa kuwekeza au kununua madini yetu (namaanisha ya viwandani). Sasa unajiuliza hii biashara iliyo wazi inatoroshwaje?
Jasusi namheshimu sana kwa habari nyeti za kijasusi ila hii katulisha tangopori!! Kuna copper huko kusini ilishachimbwa kitambo watu wanalia soko wameduwaa na vifusi vyao au hao watoroshaji hawapajui huko???
Dah na wewe kumbe uko ivi
 
naona kama jasusi kapotea maboya vile... yaani kaingia au kaingizwa chaka! Hatuna hata kiwanda kimoja cha kuchenjua madini korofi kama vile titanium achilia mbali chuma na shaba. Hayo ma ore yalizuiwa kusafirishwa na mwendazake hata wachimbaji wadogo na wakubwa wakafilisika kabisa huku bei ya madini hayo ikianguka kama ilivyokuwa mbaazi. Januari JPM mwenyewe akaruhusu waliokuwa na mizigo wauze au wasafirishe nje ili wajenge uwezo wa kumiliki smelter zao lakini walipie kodi zote husika na mrabaha. Hayo yalianza kufanyika baada ya ruhusa ile lakini wengi bado wamekwama soko na wanunuzi wengi wanaogopa kuwekeza au kununua madini yetu (namaanisha ya viwandani). Sasa unajiuliza hii biashara iliyo wazi inatoroshwaje?
Jasusi namheshimu sana kwa habari nyeti za kijasusi ila hii katulisha tangopori!! Kuna copper huko kusini ilishachimbwa kitambo watu wanalia soko wameduwaa na vifusi vyao au hao watoroshaji hawapajui huko???
Kama hujui kitu kaa kimya sio kupotosha watu.
 
Back
Top Bottom