Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
naona kama jasusi kapotea maboya vile... yaani kaingia au kaingizwa chaka! Hatuna hata kiwanda kimoja cha kuchenjua madini korofi kama vile titanium achilia mbali chuma na shaba. Hayo ma ore yalizuiwa kusafirishwa na mwendazake hata wachimbaji wadogo na wakubwa wakafilisika kabisa huku bei ya madini hayo ikianguka kama ilivyokuwa mbaazi. Januari JPM mwenyewe akaruhusu waliokuwa na mizigo wauze au wasafirishe nje ili wajenge uwezo wa kumiliki smelter zao lakini walipie kodi zote husika na mrabaha. Hayo yalianza kufanyika baada ya ruhusa ile lakini wengi bado wamekwama soko na wanunuzi wengi wanaogopa kuwekeza au kununua madini yetu (namaanisha ya viwandani). Sasa unajiuliza hii biashara iliyo wazi inatoroshwaje?
Kwani mwendzake alipojenga ukuta kule mererani aliujenga kwa sababu zipi?naona kama jasusi kapotea maboya vile... yaani kaingia au kaingizwa chaka! Hatuna hata kiwanda kimoja cha kuchenjua madini korofi kama vile titanium achilia mbali chuma na shaba. Hayo ma ore yalizuiwa kusafirishwa na mwendazake hata wachimbaji wadogo na wakubwa wakafilisika kabisa huku bei ya madini hayo ikianguka kama ilivyokuwa mbaazi. Januari JPM mwenyewe akaruhusu waliokuwa na mizigo wauze au wasafirishe nje ili wajenge uwezo wa kumiliki smelter zao lakini walipie kodi zote husika na mrabaha. Hayo yalianza kufanyika baada ya ruhusa ile lakini wengi bado wamekwama soko na wanunuzi wengi wanaogopa kuwekeza au kununua madini yetu (namaanisha ya viwandani). Sasa unajiuliza hii biashara iliyo wazi inatoroshwaje?
Jasusi namheshimu sana kwa habari nyeti za kijasusi ila hii katulisha tangopori!! Kuna copper huko kusini ilishachimbwa kitambo watu wanalia soko wameduwaa na vifusi vyao au hao watoroshaji hawapajui huko???
Alikurupuka tu.Mshamba akiona hela anatapanya tuKwani mwendzake alipojenga ukuta kule mererani aliujenga kwa sababu zipi?
Kwani ufisadi uliisha lini?
MAYANGA Co. Oyeeeeeeee.
Watasema ni Sukuma gang😃
Utasubiri sana.Nilitaka hata wewe ufe m
Nilijiongeza.Ilikuwa ngumu kutangaza sasa ulijuaje?
Kwanini mungu wako asiiondoe ccm bila kumwaga damu?
Acha chuki za kichawi we dogo.Ameanza na mchafu zaidi.
!Kama serikali ni zao la wizi, bunge ni zao la wizi, mahakama ni kichaka cha wezi na polisi ndio wezi wenyewe, nini cha ajabu kama watu hao hao wataiba rasimali za taifa chini ya mwamvuli wa CCM?
Hebu tulia we mama majaliwa.Acha chuki za kichawi we dogo.
Kama mnamuita Mbowe tajiri- sawaHuyo Chahali aache wivu na umbeya.
Kwani Samia hajui kuwa madini yanatoroshwa?
Kwani wanaotorosha madini hawajuani na Samia?
Kama serikali ni zao la wizi, bunge ni zao la wizi, mahakama ni kichaka cha wezi na polisi ndio wezi wenyewe, nini cha ajabu kama watu hao hao wataiba rasimali za taifa chini ya mwamvuli wa CCM?
Kwanini hukusema wakati wanatorosha hayo madini?Huyo unayemsema yeye na Kagame ndo zilikuwa dili zao za kimya kimya
Dah na wewe kumbe uko ivinaona kama jasusi kapotea maboya vile... yaani kaingia au kaingizwa chaka! Hatuna hata kiwanda kimoja cha kuchenjua madini korofi kama vile titanium achilia mbali chuma na shaba. Hayo ma ore yalizuiwa kusafirishwa na mwendazake hata wachimbaji wadogo na wakubwa wakafilisika kabisa huku bei ya madini hayo ikianguka kama ilivyokuwa mbaazi. Januari JPM mwenyewe akaruhusu waliokuwa na mizigo wauze au wasafirishe nje ili wajenge uwezo wa kumiliki smelter zao lakini walipie kodi zote husika na mrabaha. Hayo yalianza kufanyika baada ya ruhusa ile lakini wengi bado wamekwama soko na wanunuzi wengi wanaogopa kuwekeza au kununua madini yetu (namaanisha ya viwandani). Sasa unajiuliza hii biashara iliyo wazi inatoroshwaje?
Jasusi namheshimu sana kwa habari nyeti za kijasusi ila hii katulisha tangopori!! Kuna copper huko kusini ilishachimbwa kitambo watu wanalia soko wameduwaa na vifusi vyao au hao watoroshaji hawapajui huko???
Kama hujui kitu kaa kimya sio kupotosha watu.naona kama jasusi kapotea maboya vile... yaani kaingia au kaingizwa chaka! Hatuna hata kiwanda kimoja cha kuchenjua madini korofi kama vile titanium achilia mbali chuma na shaba. Hayo ma ore yalizuiwa kusafirishwa na mwendazake hata wachimbaji wadogo na wakubwa wakafilisika kabisa huku bei ya madini hayo ikianguka kama ilivyokuwa mbaazi. Januari JPM mwenyewe akaruhusu waliokuwa na mizigo wauze au wasafirishe nje ili wajenge uwezo wa kumiliki smelter zao lakini walipie kodi zote husika na mrabaha. Hayo yalianza kufanyika baada ya ruhusa ile lakini wengi bado wamekwama soko na wanunuzi wengi wanaogopa kuwekeza au kununua madini yetu (namaanisha ya viwandani). Sasa unajiuliza hii biashara iliyo wazi inatoroshwaje?
Jasusi namheshimu sana kwa habari nyeti za kijasusi ila hii katulisha tangopori!! Kuna copper huko kusini ilishachimbwa kitambo watu wanalia soko wameduwaa na vifusi vyao au hao watoroshaji hawapajui huko???
nitekwe?Kwanini hukusema wakati wanatorosha hayo madini?