Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Harafu hawawataji,Rais analalamika, Waziri analalamika na watendaji na Hawa akina Chahali wanalalamika lakini hakuna anaewataja hao watorosha madini.Kwanini kila siku watu wanalalamika tu kuhusu wizi wa madini?
Ni wakina nani hao wanaotorosha madini wanaonekana lakini vyombo vya usalama vipo kimya?
Au wahusika nao wanahusiana na vyombo vya usalama na maafisa wa serikalini?
Haiwezekani Rais, mawaziri, na watu binafsi wote wanalia, hili taifa linachekesha.
Unaweza thibitisha?Wakati wa mwendazake angalau watu walifichama kidogo. Sahizi ni kama shamba la bibi. linaliwa na yeye kakaa hapohapo
Watanzania hawajui wanataka nini mpaka leoanamaanisha nini anaposema ufisadi umerudi kwa kasi ya kisurisuri... kuna mahala nashindwa kuwaelewa Watanzania tunataka nini sasa...
mmeshiba ~~ ndiooo.
mna njaa ~~ ndiooo.
Magufuli alikuwa mwizi na shetani mkubwa,akichofanya ni kuhakikisha hakuna mtu anayejua habari za wizi wake!
Sent from my TECNO-N8 using JamiiForums mobile app
Huyo ndio aliweka watu wake kule wanashindana kuiba, Sasa mama anaenda kuwapiga chini wote then mje humu sukuma gang muanze kulialia!
Kiturilo huyo Magufuli wako ndiyo alikuwa mwizi aliyekubuhu ila alitumia ujinga wenu kwa kuwa mlikuwa mnaamini kila awaambiacho.
Je unajuwa kwa nini Paul Kagame hakuja kwenye msiba na mazishi yake?
Je unajuwa kwa nini aliingia gereza la Butimba na kuamuru wale watorosha dhahabu walioshikwa na Polisi waachiwe?
Je unajuwa kuwa Mbunge Alexnder Mnyeti ni mpwa wake? Na kwamba Mnyeti ana ukwasi wa kutisha uliotokana na madini aliyoiba akiwa RC Manyara?
Kama hujaelewa ujuwe wewe siyo mlengwa? Pita mbali kama hujaionaHii insha inatufundisha nini sisi?
Usalama kazi yao kulinda CCM, kuteka na kutengenezea wapinzani kesiKwanini kila siku watu wanalalamika tu kuhusu wizi wa madini?
Ni wakina nani hao wanaotorosha madini wanaonekana lakini vyombo vya usalama vipo kimya?
Au wahusika nao wanahusiana na vyombo vya usalama na maafisa wa serikalini?
Haiwezekani Rais, mawaziri, na watu binafsi wote wanalia, hili taifa linachekesha.
Kama una uchungu na Tanzania, toa details za wanavyoiba na ramani nzima hapa vinginevyo ni porojo tu za kwenye kahawa.Mnataka Mh. Rais aonekane hakuna anachokifanya, sio poa
Pole Sana,wenzio tulishajenga kitambo, sasaivi nyumba zinazaa nyumba, Kodi za nyumba tano unanunua kiwanja kwa mwakaSukuma gang ni wimbo hushachokwa, pambana na bei ya Alzeti, vifaa vya ujenzi n.k hukoooo
Mi sijawahi ona faida ya haya madini kwa nchi yetu!!acha waibe tu!!
Onyesheni Mali zake kama zipo ili zikamatwe, Au ni chuki tu ???Huyo unayemsema yeye na Kagame ndo zilikuwa dili zao za kimya kimya
Watu wanafanya utani hata katika vitu vya msingi, Kweli tutapigwa sana !! Pole Tanzania !!Ccm kura wanaiba hata za serikali ya mitaa,wataacha madini!!!
Iko wazi sana. Wafanyabiashara wanatamba huku walalahoi wanahenya. hata huduma za afya kwenye taasisi za serikali zimeshuka kwa kasi sana.Unaweza thibitisha?
Ni ushahidi kuwa shamba halina mwenyewe.Sukuma gang ni wimbo hushachokwa, pambana na bei ya Alzeti, vifaa vya ujenzi n.k hukoooo