The Khoisan
JF-Expert Member
- Jun 5, 2007
- 16,434
- 14,547
Maza na Magufuli ni kitu kimoja ....!!Leo ndiyo mmejua Magufuli alikuwa anafanya kwa ajili ya taifa? Nendeni mkatubu haraka sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maza na Magufuli ni kitu kimoja ....!!Leo ndiyo mmejua Magufuli alikuwa anafanya kwa ajili ya taifa? Nendeni mkatubu haraka sana
Huyo ndio aliweka watu wake kule wanashindana kuiba, Sasa mama anaenda kuwapiga chini wote then mje humu sukuma gang muanze kulialia!Leo ndiyo mmejua Magufuli alikuwa anafanya kwa ajili ya taifa? Nendeni mkatubu haraka sana
Si ndiyo alipiga 1.5 tr au siyo yeye?Leo ndiyo mmejua Magufuli alikuwa anafanya kwa ajili ya taifa? Nendeni mkatubu haraka sana
Kiturilo huyo Magufuli wako ndiyo alikuwa mwizi aliyekubuhu ila alitumia ujinga wenu kwa kuwa mlikuwa mnaamini kila awaambiacho.Leo ndiyo mmejua Magufuli alikuwa anafanya kwa ajili ya taifa? Nendeni mkatubu haraka sana
Jiwe alikuwa anatorosha yeye mwenyewe, jaribu kupinga au kukosoa uone kitakacho kupataHuyu kilaza alumtukana sana jpm kwenye ishu za kukataa madini kutoroshwa leo analia mpumbavu sana
USSR
Alifanya KWa taifa la nani, Kama sio ubinafsi ,angalia makampuni yote yalioanzishwa PITIA mgongo wake yanakufa kwa kasi ya ajabu ,Bado Nina wasiwasi na Waja mabati, hivi hakua na mikono hapoLeo ndiyo mmejua Magufuli alikuwa anafanya kwa ajili ya taifa? Nendeni mkatubu haraka sana
Hakuwa na uchungu na nchi huyo,Hawa wanaotorosha madini yeye ndio aliowaweka hapo tena kwa nguvu ya silaha na damu za watuMwenye uchungu na Nchi hii ameshatangulia mbele za haki. Ni nani tena atusaidie?
Huyu kilaza alumtukana sana jpm kwenye ishu za kukataa madini kutoroshwa leo analia mpumbavu sana
USSR
Toa evidence..usihalalishe wizi kwa hoja za kufikirikaHuyo unayemsema yeye na Kagame ndo zilikuwa dili zao za kimya kimya
Magufuli alikuwa mwizi na shetani mkubwa,akichofanya ni kuhakikisha hakuna mtu anayejua habari za wizi wake!
Sent from my TECNO-N8 using JamiiForums mobile app
Magufuli alikuwa fisadi was kutisha. Hakuwahi kupambana na ufisadi hata ule was wazi wazi ndani ya CCM au serikalini.Mwenye uchungu na Nchi hii ameshatangulia mbele za haki. Ni nani tena atusaidie?
tukatubu Kwa mungumtu wenu Jiwe au sio dogo acha vioja,eti mkatubuLeo ndiyo mmejua Magufuli alikuwa anafanya kwa ajili ya taifa? Nendeni mkatubu haraka sana
Kiturilo huyo Magufuli wako ndiyo alikuwa mwizi aliyekubuhu ila alitumia ujinga wenu kwa kuwa mlikuwa mnaamini kila awaambiacho.Leo ndiyo mmejua Magufuli alikuwa anafanya kwa ajili ya taifa? Nendeni mkatubu haraka sana
Hata sielewi tena. Kwani kuna wakati yaliacha kutoroshwa?
Jibu umelitaja "wahusika nao wanahusiana na vyombo vya usalama na maafisa serikalini"Kwanini kila siku watu wanalalamika tu kuhusu wizi wa madini?
Ni wakina nani hao wanaotorosha madini wanaonekana lakini vyombo vya usalama vipo kimya?
Au wahusika nao wanahusiana na vyombo vya usalama na maafisa serikalini?
Haiwezekani Rais, mawaziri, na watu binafsi wote wanalia, hili taifa linachekesha.
Anasema ufisadi umerudi kwa kasi ya upepo wa kisuri suri. Tuna mengi ya kujifunza hapa 😀😀😀Chahali🤣🤣🤣
Nchi hii bana