AHSANTE SANA Malila kwa update hiii. ukumbi naufahamu ni mzuri. Je kwa bei hii ni siku nzima au masaa machache.. na je umeme ukikatika inakuwaje in terms of upatikanaji wa generator (na kama wakiwasha generator wanapandisha bei). tukumbuke kuwa bei hii ni kwa ajili ya ukumbi tu so tutaongezea hela kidogo kwa ajili ya refreshment). naomba members wengine watoe maoni yao haraka iwezekanavyo ili tuone kama LUNCH time (ubungo external) uchukuliwe huo au utafutwe mwingine kama Rombo View Hotel. tunaoma ushauri wenu wa mwisho kabla kukamilisha suala la ukumbi.
Nakushukuru sana
malila kwa update yako. namshukuru sana TITO kwa juhudi zake (inatia moyo jamani)
mpaka sasa watu waliokwisha thibitisha kushiriki ni wafuatao:
- KANYAGIO
- MALILA
- MGOMBEZI
- KASOPA
- ZAHOR SALIM
- NEW MZALENDO
- TGS D
- REALTOR
- MASAKI
- STREET SMART
- ELNINO
- LEN
- BABALAO
- TITO
NOTE: kuwa watu wachache kama wawili watatu ambao si members wa JF ambao wamethibitisha ushiriki wao (sijaweka majina yao hapa).
naomba wale wote wanaohitaji kushiriki mkutano huu watoe uthibitisho..
katika siku chache zijazo tuta-share timetable/agenda