CHAI Day 5 Feb 2011 Dar: Kujadili fursa katika Kilimo na ufugaji

Nimemwambia Tito akalipie ukumbi mkubwa kabisa ili tarehe 5february jumamosi saa nane mchana shughuli inaanza. Ni shughuli kweli kweli, mosi; kuhakikisha kama sura ya FL,NM,MJ ni hii iliyopo ktk avatar au sio na wengineo, pili; nini mwisho wa kikao.

Hivyo ndivyo nilivyoonekana nikiwa na umri wa miaka 5
 

Hebu ifafanue kidogo kama unaifahamu vyema,kwa faida ya wengi tafadhali.


Amani yetu inatumiwa vibaya.
 
wanajamvi,
update list ya waliothibitisha kushiriki ni hawa:

  1. KANYAGIO
  2. MALILA
  3. MGOMBEZI
  4. KASOPA
  5. ZAHOR SALIM
  6. NEW MZALENDO
  7. TGS D
  8. REALTOR
  9. MASAKI
  10. STREET SMART
  11. ELNINO
  12. LEN
  13. BABALAO
  14. THE INVESTOR
  15. MASIKINI JEURI
  16. SABI SANDA
  17. DORISVETY
  18. CARMEL
  19. RAMTHODS
  20. BENNET (wa mitiki blog)
  21. FIRST LADY (sina uhakika sana maana alisema.... wadau tupo pamoja--- Naomba uthibitishe kama utashiriki)
ambao wameonyesha nia lakini hawajathibitisha kutokana na ratiba zao ni NJOWEPO na KAMUZU

ambao wameomba udhuru kwa sababu watakuwa na shughuli nyingine ni CHEUSIMANGALA NA AFRICAN

Tunaendelea kupokea uthibitisho
 
Mkuu kanyagio naafiki na mipango yote na pia nami ntafatana na wajumbe wawili ambao sio wana JF nao watashiriki kikaoni na mchango utakaopendekezwa watatoa na kujisajiri rasim,
Mbarikiwe
PAMOJA INAWEZEKANA
 
Mawazo yenu nimeyakubali wakuu mko vizuri. Yaani hata wahitimu wetu wa vyuo vya kilimo na mifugo wangekuwa na mawazo haya wala wasingehangaika na maswala ya kulialia mambo ya ajira.

Watu wawe wabunifu kama hawa wana-JF nimewagongea wakuu!!!
 
guys i will be there pls niongezeni kwenye list
 
Mkuu Malila mimi naomba Cheusi 2 afike kama alivyo pale mahala lakini bahati mabaya hatahuzuria
Sasa hapa,umetoka kuoga au unakwenda kuoga,maana hilo poda !!!!!! Ila ulikuwa na afya.
 
5 fEB NI SIKU YA KUANZISHWA CCM, NI KAMA VILE UNATAKA TUSHEREHEKEE HUU UPUPU.
 
1) Mkuu, baada ya hiyo tarehe tano kutakuwa na mkutano tena lini?

2) Binafsi sitakuwepo hapo hiyo tarehe lakini nilikuwa na hamu sana ya kushiriki, ni kwa njia hipi naweza kupata feedback ya kikao
 
5 fEB NI SIKU YA KUANZISHWA CCM, NI KAMA VILE UNATAKA TUSHEREHEKEE HUU UPUPU.

Lengo lingekuwa hilo basi theme ingeendana na tukio husika. Fuatilia kwa makini lengo la CHAI DAY.
 
Bwana utingo nazani umepotea kiwanja hiki sio kiwanja cha siasa plz soma tred kabla hujatoa tamko futilia mtiririko mzima wa tred ili ufaham nini malengona na sababuipi ikapendekezwa tarhe 5, pia unakaribishwa kuhuzuria unafake
5 fEB NI SIKU YA KUANZISHWA CCM, NI KAMA VILE UNATAKA TUSHEREHEKEE HUU UPUPU.
 
updated list

  1. KANYAGIO
  2. MALILA
  3. MGOMBEZI
  4. KASOPA
  5. KASOPA FRIEND NO. 1
  6. KASOPA FRIEND NO. 2
  7. ZAHOR SALIM
  8. NEW MZALENDO
  9. TGS D
  10. REALTOR
  11. MASAKI
  12. STREET SMART
  13. ELNINO
  14. LEN
  15. BABALAO
  16. THE INVESTOR
  17. MASIKINI JEURI
  18. SABI SANDA
  19. DORISVETY
  20. CARMEL
  21. RAMTHODS
  22. BENNET (wa mitiki blog)
  23. GAMAHA
  24. AMBASSADOR
Waliowekewa rangi nyekundu ndo wameogezeka
 

Kanyagio be my host! Nitakuwepo, naomba na ya cim nitumbukiz shekeli
 
Kanyagio be my host! Nitakuwepo, naomba na ya cim nitumbukiz shekeli

KIRESUA karibu..

ndugu wote mliothibitisha kushiriki.. kesho au keshokutwa nitatoa namba ya simu ili muanze kutumbukiza hela ya ushiriki wenu!!..sorry for delay
 
Na mimi nitakuwepo tupewe venue na time ya kukutana mapema
 
Na mimi nitakuwepo tupewe venue na time ya kukutana mapema
babalao ukiangalia post za hapo juu utagundua kuwa jina lako lipo (Na. 15).

aidha naomba nikujulishe kwamba tumeshafanya booking pale Lunch Time Hotel iliyopo Mandela Road opposite na Mabibo Hostel (siyo mbali toka ubungo External). Tutaanza saa nane kamili juu ya alama tarehe 5 Feb. na kila mtu atatakiwa kuchangia 15,000/= kwa ajili ya gharama za ukumbi na refreshment kidogo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…