Chakula au vitu gani huwezi kuacha kula hata kama ukiwa Bilionea?

Chakula au vitu gani huwezi kuacha kula hata kama ukiwa Bilionea?

Ugali na mlenda.

Mtori na chapati 1

Ugali na dagaa rosted ukimix na tubamia, kakiazi na vinyanya chungu.

Wali maharage na kachumbari

Ha ha ha ha ha ha ha

Mimi ugali kwa majani ya maboga yaliyowekwa karanga au unga wa mbegu za maboga au majani ya maharage yaliyowekwa karanga sitaweza acha kula kabisa.
 
Back
Top Bottom