Elvis Legacy
JF-Expert Member
- Aug 10, 2017
- 3,984
- 5,820
Kumbikumbi kwa ugali aisee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ugali jamani khaaa nautamani kweli!! yapata miaka kumi sasa!! sijautia machoniHabari wadau,
Chakula gani hujala kwa muda mrefu na umekikumbuka sana. Mimi nimekumbuka makande nayapenda sana ila H]
Kuumbe wewe dada Mmakondeeeee??? pwiiii!! nimenawa nilidhani bonge la Queen wa kanda maalumu!!! kijita , kikurya kuuumbe loool!! pole sana ndo maana unajifichaga kuuumbe!!Mchunga wa nazi nime umiss sana
Mimi nimemisi ugali aka sumu ya A level
Karibu Kijijini huku Mwifwa hutokosa vitu hivyoUgali wa uwele au mtama + mlenda + maziwa( original yaliyotingishwa kwenye kibuyu )
Mtanga huyoooo mkuuKuumbe wewe dada Mmakondeeeee??? pwiiii!! nimenawa nilidhani bonge la Queen wa kanda maalumu!!! kijita , kikurya kuuumbe loool!! pole sana ndo maana unajifichaga kuuumbe!!
Daahh, udenda umeanza ukorofi hapaKaribu Kijijini huku Mwifwa hutokosa vitu hivyo
Naomba hilo pishi niwepo[emoji39][emoji39][emoji39][emoji39]Habari wadau,
Chakula gani hujala kwa muda mrefu na umekikumbuka sana. Mimi nimekumbuka makande nayapenda sana ila muda wa kuyapika ndio unakiwa changamoto.
Ila wiki hii nitajitahidi nipike makande ya karanga.
Wewe umekumbuka chakula gani?
Well.. what is mchunga wa nazi...? Japo kwa mulhtasari!!Mchunga wa nazi nime umiss sana