Chakula gani hujala muda mrefu?

Habari wadau,

Chakula gani hujala kwa muda mrefu na umekikumbuka sana. Mimi nimekumbuka makande nayapenda sana ila H]
Ugali jamani khaaa nautamani kweli!! yapata miaka kumi sasa!! sijautia machoni
 
M
Kuumbe wewe dada Mmakondeeeee??? pwiiii!! nimenawa nilidhani bonge la Queen wa kanda maalumu!!! kijita , kikurya kuuumbe loool!! pole sana ndo maana unajifichaga kuuumbe!!
Mtanga huyoooo mkuu
 
Naomba hilo pishi niwepo[emoji39][emoji39][emoji39][emoji39]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…