NAWATAFUNA
JF-Expert Member
- Nov 14, 2019
- 13,284
- 24,047
Jicho.nilikula jicho sikumoja tu sitakitena.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usisahau ile kitu ya kiarabu inaitwa bokoboko mkuu unaweza kuzimia.Pizza, Burger, Shawarma, beef lasagna, Kaa, mlenda wa unga, Mchunga.
Hivo vitu viko bongo kweli mkuu?Loshoroo, ngararimo, anjero, nyama ya kondoo, ghee
Vipo, loshoro chakula cha wamasai mahindi ya kande wana mix na mtindi, ngararimo ni makande ya uchagani mahindi mazima + maharage wanapika na magadi hayo mahindi, anjero ni chapati za maji za wasomali au ethiopianHivo vitu viko bongo kweli mkuu?
Duh jamani jamani hatari yan vyenye umesema tu hapo nimeona ni jinsi gani sifai kula hizo makitu.Vipo, loshoro chakula cha wamasai mahindi ya kande wana mix na mtindi, ngararimo ni makande ya uchagani mahindi mazima + maharage wanapika na magadi hayo mahindi, anjero ni chapati za maji za wasomali au ethiopian
Pole, raha ya choroko zipikwe mseto
We mtu wa pwani nini mkuuWali uliopikwa na maziwa
Ilibidi nikauteme Tu nje
Cadey wan kusalamayLoshoroo, ngararimo, anjero, nyama ya kondoo, ghee
Hataree, vyakula vya Kiswahili mlenda wa nyanya chungu Hapana kwa kweliDuh jamani jamani hatari yan vyenye umesema tu hapo nimeona ni jinsi gani sifai kula hizo makitu.
Ila vyakula vya kiswahili ni best mengine utopolo