Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
huyu aliyegundua kabichi nayo ni miongoni mwa mboga naye ni mpuuzi sanaKabichi...nafa hapo hapo
[emoji3] [emoji3] [emoji3]Kumbikumbi nilionja mmoja tu nikahisi nakula mende.
Dagaaa hata Mimi Wana nisumbua, wale wa mwanza, kigoma,Sijui hata ilikuaje lakini mimi nikila dagaa au yai la kuchemsha nitatapika balaa
Alikuwa kaharibika huyoNilikunywa supu ya pweza 2012 ila ghafla kichwa kikaanza kuuma, mwili unaisha nguvu, tumbo linaunguruma, jasho linanitoka na kuanza kutapika,
Mpaka leo nikimuona pweza napita kushoto.
Beef lasagne hii menyu ikoje MkuuBeef lasagne ni utopolo.
Chicken pizza ni takataka!
Wali maharage best food ever
Uko sahihi Daby; chakula kinategemea upikwaji wake. Ukila kwa mara ya kwanza chakula kilichopikwa vibaya, hutakaa ule tena chakula hicho ukijua daima ni kibaya.Chakula kinategemea na upikwaji wake.
Hata huo wali maharage kuna mpishi akiupika hauwezi kuula.
Ushamba wakati mwingine!Pweza aisee ina vitundu flani vinatoa vidude vya mviringo niliapa sitokula tena
umejua kunichekesha mkuuMimi hata nikikuta punda amepikwa fresh napiga, usinambie tu kama punda. Kipengele cha kubagua misosi kwenye ubongo nadhani kili expire.
Hahahahaha..ww na mimi hatuna utofauti
Siwez kula wadudu aisee, kuanzia senene,kumbikumbi na mdudu anaitwa pweza..