sawima
JF-Expert Member
- Jul 9, 2019
- 5,496
- 8,491
Aisee!
Hawa wadudu kuna watu tunawala hata bila kukaangwa.
Duh yani mm nisivyopenda wadudu siwezi kula ugali sahani moja na mtu anaekula kumbikumbi na wadudu wengine.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aisee!
Hawa wadudu kuna watu tunawala hata bila kukaangwa.
Mimi hata nikikuta punda amepikwa fresh napiga, usinambie tu kama punda. Kipengele cha kubagua misosi kwenye ubongo nadhani kili expire.
Beef lasagne hii menyu ikoje Mkuu
Kwa kuitazama inavutia sana Mkuu.View attachment 1549068hii hapa boss
hivi kuku wa kfc huwa wanakuwa wa kisasa sio?Siwezi kula takataka fulani za kuku waliozidishwa chumvi zinaitwa KFC.
Nitaitafuta nikienda hotel classic then ntaleta mrejeshoView attachment 1549068hii hapa boss
Jaribu wali na maarage mabichi.(ambayo hayajakaukaBeef lasagne ni utopolo.
Chicken pizza ni takataka!
Wali maharage best food ever
Mnafu changanya mchicha, majani ya maboga,nyama ya ng'ombe halafu unga na nazi.1. Mnafu
Njugumawe si mboga.NJUGUMAWE
Hii mboga hunilishi hata iweje.
Huo mseto si mchezo, ngoja nikija oa nitamwambia waifu afanye hivoMnafu changanya mchicha, majani ya maboga,nyama ya ng'ombe halafu unga na nazi.
Halooooo tamu mno