Don Clericuzio
JF-Expert Member
- Dec 8, 2017
- 16,930
- 40,556
Hahaha mke wa mtu huyo kamanda
Yeye mwenyewe ndo kakwambia au umejitungia?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaha mke wa mtu huyo kamanda
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kumbikumbi nilionja mmoja tu nikahisi nakula mende.
Na ile harufu sasa balaa na nusuNjugu siji rudia tena kula
Hapana, niliona kwenye uzi mmoja hiviYeye mwenyewe ndo kakwambia au umejitungia?
Naona umekuwa mshenga.
Mimi pia imenishinda.Kisusio nilionja nikiwa Arusha, sina hamu tena
ahHahahah...!Naona umekuwa mshenga.
Umuambie kabisa nina mtoto anayesoma shule.
Na asubuhi anataka hela za shule "mbili" [emoji1787]
Acha tu watoto wa siku hizi.ahHahahah...!
Aisee ila kuna raha yake lakiniAcha tu watoto wa siku hizi.
Anakuambia nataka hela mbili [emoji1787]
Naona umekuwa mshenga.
Umuambie kabisa nina mtoto anayesoma shule.
Na asubuhi anataka hela za shule "mbili" [emoji1787]
Mimi mrenda ni kitu nisichopana nachoMambo vipi wanaJF natumai mko poa. Kwenye misosi kuna kuwa na kile chakula una hamu nacho au tu umekuta sehemu kimepikwa kwasababu hujawahi kula unaamua kula huo msosi kwa mara ya kwanza lakini chakula hicho kina kushinda kabisa hata kukupelekea kujisikia vibaya.
Mimi miaka ya nyuma nilikuwa nasikiaga kuhusu supu ya kongoro siku na mimi nikaamua nijue ikovipi hiyo supu nikaenda sehemu nzuri tu nikaulizia nikaambiwa ipo basi nikaletewa pale nikaanza kuipiga lakini kidogo tu nilikula kama vipande viwili tu vya ile nyama nikajisikia kuchefuchefu vibaya sana hata hiyo nyama kumeza haimezeki nikaacha supu karibia yote pale hadi leo hii sitaki tena kusikia kuhusu hiyo supu
Nyingine hii ilikuwa ni juisi ile ya rozela nilikuta imetengenezwa sehemu nikanywa glasi moja ilikuwa na ladha nzuri tu lakini baada ya hapo nilijisikia vibaya sana kama kizunguzungu mara kama mwili unataka ku vibrate mara jasho linatoka japo kulikuwa na feni yaani ilikuwa ni shida mpaka leo nikiiona hiyo juisi naipitia mbali kabisa. Hata juisi ya miwa ilinishinda kabisa ni bora nile muwa kama muwa
Vipi kwa upande wenu wadau ni kitu gani ulikula lakini baada ya hapo hutaki tena kukila.
Huo ushubwada kaka trust meMkuu achana bokoboko bhana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Kabichi ni tamu sana basi tu wengi hawajui kupika.Kabichi...nafa hapo hapo
Yaani mimi ile harufu ilinichefua,nikaweka ndimu ila wapiNa ile harufu sasa balaa na nusu
Kula kabichi na wali tu achana na hivyo vikorombwezo vingne uone cha mtema kuni"[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Kabichi ni tamu sana basi tu wengi hawajui kupika.
Nilikua nachukia Kabichi ila sasa natamani kila leo nilile.
Kabichi + wali nazi +maharage nazi + nyama ya kukaanga. Weeeeeee