Mnazareth
JF-Expert Member
- Dec 4, 2017
- 3,474
- 7,404
Aisee;wanafanya vibaya sana,Utumbo na nyama wapi na wapi!??Utumbo me mwenyewe sili. Wauza butcher wa Arusha wana ustaarabu m'baya sana, ukinunua nyama wanamix na utumbo eti. Me nawaambiaga ni heri uniwekee kilo pungufu kuliko kunichanganyia na hayo mautopolo
Kwahiyo ni karibia mabutcher yote!??
Mpaka leo sijui ni nani aliyeanzisha kula utumbo wakati nyama ipo.!!