Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
Hadi hoho?[emoji134]Kisamvu...Biringanyaa...Nyanya Chungu...Pilipili hohooo hivi vitu hapana aiseee...!!
Sasa unaunga nini kwenye mboga??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hadi hoho?[emoji134]Kisamvu...Biringanyaa...Nyanya Chungu...Pilipili hohooo hivi vitu hapana aiseee...!!
Hadi hoho?[emoji134]
Sasa unaunga nini kwenye mboga??
Weeee kisamvu???
Labda umekosa mpishi tuuu.... Kisamvu mboga pambee
Kisamvu kichungu???[emoji134][emoji134]Mkuu labda mpishi hakunaa maana kinakuwaga kichungu balaaa
Aiiiii hapo mpishi hamna.... Kisamvu kiungwe na Nazi na Nazi ikoleee vizuri weeeeeeeeerrMkuu labda mpishi hakunaa maana kinakuwaga kichungu balaaa
Mpishi wake tuu uyo banaKisamvu kichungu???[emoji134][emoji134]
[emoji1][emoji1] uyu itakua anatumia kitunguu na nyanyaHadi hoho?[emoji134]
Sasa unaunga nini kwenye mboga??
KwakweliMpishi wake tuu uyo bana
Ni Kama Mimi nisivyopenda maboga.... Ingawa watu wanayasifia kweli..... Mimi Mara ya kwanza kula boga lilikua bayaaaaaaUko sahihi Daby; chakula kinategemea upikwaji wake. Ukila kwa mara ya kwanza chakula kilichopikwa vibaya, hutakaa ule tena chakula hicho ukijua daima ni kibaya.
YaanUshamba wakati mwingine!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaani[emoji1][emoji1] uyu itakua anatumia kitunguu na nyanya
[emoji1][emoji1][emoji1] Kama nakuona1.KAHAWA
kuna jamaa zangu wengi hupenda kweli kahawa,namimi ki ukweli napenda sana ile harufu yake tena nikiona na zile kashata huwa natamani kweli,siku 1 namimi nikasema haiwezekan kila siku nile harufu,Akapta muuza kahawa "nikamuita" kwa kujiamini kama vile member kbsa, akaja nkamwambia "weka kahawa hapa bwana mkubwa" Akanimiminia.
akanipa na kashata zake nikachukua 1,nikatia mdomoni mdomoni "bwana weeee" ilikua chungu hiyooooo haimezeki yani bahati yangu ilivyokua mbaya nilikaa sehemu ambayo hamna hata pakutemea.kote kulikua na tyrese tena nyeupee,asee nilijitahd kunywa ile kahawa ila sikuweza pga hata pafu lingine,muda huo nakunywa kashata yangu mkononi "nishaimaliza mudaaa" ila kakikombe ka kahawa kamejaa full,wenzangu washaongeza round mbili mi npo tu.
nikawa natafuta namna ya kutoka pale nisogee pembeni nikaimwage ie kahawa,ikabd nitege Alarm ya dk 3 nikakaa simu ikaita nikajifanya nimepokea nkainuka nikasogea kwenye mchanga nkamwagilia mbali kahawa lao.
Tikiti maji limenishinda. Hata harufu yake siwezi kuvumilia.
Wakati nipo chekechea ndiyo niliyajua matikiti, niliyakuta nyumbani siku hiyo. Nilikula, hata sikumaliza kipande nikaanza kutapika.Hivi huu ni ushamba ama ni nyodo za kula?
Tikiti maji linakushindaje?
[emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119][emoji23][emoji23]binadamu hatufanani mkuu...Hivi huu ni ushamba ama ni nyodo za kula?
Tikiti maji linakushindaje?
Aisee, pole...kuna watu mnakosa uhondoKisamvu...Biringanyaa...Nyanya Chungu...Pilipili hohooo hivi vitu hapana aiseee...!!