Melanny
JF-Expert Member
- Mar 7, 2019
- 1,247
- 2,234
Nimependa hapo kwa wali maharage[emoji39]Beef lasagne ni utopolo.
Chicken pizza ni takataka!
Wali maharage best food ever
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimependa hapo kwa wali maharage[emoji39]Beef lasagne ni utopolo.
Chicken pizza ni takataka!
Wali maharage best food ever
huyu aliyegundua kabichi nayo ni miongoni mwa mboga naye ni mpuuzi sana
[emoji1] [emoji1] labdaSijui alikuwa anatafuta nini? Au ilikuwa ni kipindi cha njaa?[emoji23][emoji23][emoji23]
Kama unatatizo la pumu usiguseSupu ya pweza nilitia kijiko ki1 tuu mdomoni hali iliyonipata hd leo nikiona sehem inapikwa napita mbali kbs....
Mkuu hiyo kitu inauhusiano gani na mfumo wa upumuajiKama unatatizo la pumu usiguse
Mi too hii Kitu Hapana tenaWali wa bismati
Yaani ulivyoyataja makaongoro leo lazima nikayapige jioni. Yale makitu matamu sanaMlonge nikinywa aisee naugua hapo hapo, kizunguzungu na mwili kukosa nguvu, nimejaribu mara kwa mara lakini hali ni hiyo hiyo nikunywa mlonge ni balaa, pia makongoro yalinishinda
Nakula ugali,wali ,mihogo,viazi.Toa mabiringanya ,tambi,ndizi tupa jalalani.Unakulaga nini wakishua???? Pizza burger nini...[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
ivi we unaakili kweli? Acha kukurupuka mie nazungumzia injera za Ethiopian,Somalian, zina upishi wake bob, sio chapati za maji za kawaidaChapati za maji (kumimina) mbona hazina shida. We mshamba wa wapi.
Mmh wewe sasa umezidi.Mabiringanya = Hayamezeki
Kabichi=Inanuka
Tambi= Huu uchafu mtu asije kuniletea tutakosana.
Ndizi=Hazina ladha kabisa.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Wengine tunakula kila kitu kasoro chuma na sumu tu.
Huyo kanishangaza kuhusu hoho.Hadi hoho?[emoji134]
Sasa unaunga nini kwenye mboga??
Loshoroo, ngararimo, anjero, nyama ya kondoo, ghee