Nuzulati
JF-Expert Member
- Nov 25, 2020
- 10,094
- 37,314
Mchele unauchanganya na nyama ya kuku au ng’ombe kisha una saga kwa pamoja unakuwa kama ujiNdio inapikwaje hiyo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mchele unauchanganya na nyama ya kuku au ng’ombe kisha una saga kwa pamoja unakuwa kama ujiNdio inapikwaje hiyo
Hapo kwenye kuchanganya na nyama ndio balaaMchele unauchanganya na nyama ya kuku au ng’ombe kisha una saga kwa pamoja unakuwa kama uji
Jaribu la maziwa mtindi 😋😋Mchele unauchanganya na nyama ya kuku au ng’ombe kisha una saga kwa pamoja unakuwa kama uji
Hamjapata zilizoungwa vizuri zikatiwa na nazi lile tui zito 😋😋Tuko pamoja ktk ili. Njugu mawe ni mbaya
Sikipindi nijaribu siku moja nikashindwa kumalizaJaribu la maziwa mtindi 😋😋
Naona nakula uji uliochanganywa na nyamaHapo kwenye kuchanganya na nyama ndio balaa
ee wale wadogo ndo watamu ila wakubwa radha yake sijui nikuelezee vp,ok ukiwa mdogo uliwahi kupika maembe mabichi hadi yakaiva na ukala,ile ladha yake havijaachana sana na nyama ya nyokaNyama ya nyoka????
Wee jamaa[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]ee wale wadogo ndo watamu ila wakubwa radha yake sijui nikuelezee vp,ok ukiwa mdogo uliwahi kupika maembe mabichi hadi yakaiva na ukala,ile ladha yake havijaachana sana na nyama ya nyoka
mkuu mbona mambo ya kawaida sana haya.ila siku ya kwanza lazima utapike labda wakuchanganyie na nyama nyingine bila kujuaWee jamaa[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Me niliwahi kula samaki nyokaaa...mkuu mbona mambo ya kawaida sana haya.ila siku ya kwanza lazima utapike labda wakuchanganyie na nyama nyingine bila kujua
mkuu jarbu nyoka kama nyoka hutojutia,ila kuwa makini na sumu yakeMe niliwahi kula samaki nyokaaa...
MbususuMambo vipi wanaJF natumai mko poa. Kwenye misosi kuna kuwa na kile chakula una hamu nacho au tu umekuta sehemu kimepikwa kwasababu hujawahi kula unaamua kula huo msosi kwa mara ya kwanza lakini chakula hicho kina kushinda kabisa hata kukupelekea kujisikia vibaya.
Mimi miaka ya nyuma nilikuwa nasikiaga kuhusu supu ya kongoro siku na mimi nikaamua nijue ikovipi hiyo supu nikaenda sehemu nzuri tu nikaulizia nikaambiwa ipo basi nikaletewa pale nikaanza kuipiga lakini kidogo tu nilikula kama vipande viwili tu vya ile nyama nikajisikia kuchefuchefu vibaya sana hata hiyo nyama kumeza haimezeki nikaacha supu karibia yote pale hadi leo hii sitaki tena kusikia kuhusu hiyo supu
Nyingine hii ilikuwa ni juisi ile ya rozela nilikuta imetengenezwa sehemu nikanywa glasi moja ilikuwa na ladha nzuri tu lakini baada ya hapo nilijisikia vibaya sana kama kizunguzungu mara kama mwili unataka ku vibrate mara jasho linatoka japo kulikuwa na feni yaani ilikuwa ni shida mpaka leo nikiiona hiyo juisi naipitia mbali kabisa. Hata juisi ya miwa ilinishinda kabisa ni bora nile muwa kama muwa
Vipi kwa upande wenu wadau ni kitu gani ulikula lakini baada ya hapo hutaki tena kukila.
Aiseeee wale wadogo ndo watamu ila wakubwa radha yake sijui nikuelezee vp,ok ukiwa mdogo uliwahi kupika maembe mabichi hadi yakaiva na ukala,ile ladha yake havijaachana sana na nyama ya nyoka
Hujala Mexican Piza wew.. Mimi Bugger naona ndo iko over rated kabisaa!!Pizza na Macroni Sirudii tena, Macroni nilikuta kwa Buffee nkabeba nitoe ushamba kumbe ovyo, Ila Pizza iko overated
Bokoboko sitamanii tena
Cha kula wanapenda sana kula waarabu. Kuku una mix na ubwabwa unasaga na mashine kitu kinatoka kama ugali no mbogaBokoboko ndio nini