Chakula gani ulikula mara moja na kwa mara ya kwanza hadi leo hutaki tena kukila?

ee wale wadogo ndo watamu ila wakubwa radha yake sijui nikuelezee vp,ok ukiwa mdogo uliwahi kupika maembe mabichi hadi yakaiva na ukala,ile ladha yake havijaachana sana na nyama ya nyoka
Wee jamaa[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Mbususu

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Wali na kuku wa sesame, ni cha kichina.
 
ee wale wadogo ndo watamu ila wakubwa radha yake sijui nikuelezee vp,ok ukiwa mdogo uliwahi kupika maembe mabichi hadi yakaiva na ukala,ile ladha yake havijaachana sana na nyama ya nyoka
Aisee
 
Pizza na Macroni Sirudii tena, Macroni nilikuta kwa Buffee nkabeba nitoe ushamba kumbe ovyo, Ila Pizza iko overated
Hujala Mexican Piza wew.. Mimi Bugger naona ndo iko over rated kabisaa!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…