Maili tatu
JF-Expert Member
- Aug 8, 2020
- 830
- 1,070
MnoooPizza
Iko overated
[emoji23][emoji23][emoji23]Ulimi wa ng'ombe nilidhani nampiga denda ng'ombe sili tena
[emoji39]Mkuu Pole sanaView attachment 2263781
njugu mawe nilibugia na ilikua ndo mara ya kwanzaMlenda
Mnafu
Njugu mawe na wenzake wote kasoro maharage na njegere
Kumbi kumbi
Senene
ata harufu yke ctak acha kabisaNilionja ugoro hadi leo sitamani kabisa hata harufu yake
Kwanza ile harufu tu inachefua mnonjugu mawe nilibugia na ilikua ndo mara ya kwanza
ctak ata kuzckia
na kiporo cha kandeI love wali maharage.... Nipate kiporo Cha wali maharage na chai ya rangi.... Weweeeeh!!... Diet sifanyiiii
Watu tunatofautiana jaman hahaha.Wali uliopikwa na maziwa
Ilibidi nikauteme Tu nje
HahahahaKumbikumbi nilionja mmoja tu nikahisi nakula mende.